Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
- Thread starter
- #41
kheeee!!!! kumbe hata wewe huwa unacheka?Nikafate nini uwanja wa Taifa? Unanchekesha!
kheeee!!!! kumbe hata wewe huwa unacheka?Nikafate nini uwanja wa Taifa? Unanchekesha!
Unanshangaza!kheeee!!!! kumbe hata wewe huwa unacheka?
endelea kushangaaUnanshangaza!
Ahsante!!!
Mmmmh!! my jana sijakutia machoni, salama wew??????
Hela zao huwa wananunua ugoro wa kufukiza chini ya mapaja.
Ndiyo maana wanawake wengi siku hizi wanaharufu kali sana
Mzuri wa nini?acha ubwege kuna wanawake wapiganaji wanajinunulia vitu vya thamani kwa nguvu zao,wanamiliki vitu vya thamani ikiwemo mijengo ya maana na magari makali wakati we unayejifanya kidume unazidi kuwa jeans Mpauko mtaani,acha kukariri kwamba wanawake wote wanaishi kwa kuhongwa!!
1.Hamnunui viwanja.
2.Hamjengi.
3.Magari mnahongwa.
4.Voucher mnahongwa.
5.Nguo mnapelekwa shopping.
6.Outing mnatolewa.
7.Nguo mnanunuliwa.
8.Kodi za mnalipiwa.
9.Simu mnanunuliwa,
10.Bado mnapiga mizinga ambayo inawasaidia kwa saloon na pesa ndogondogo za kutuma kwenu.
Kila kitu mnafanyiwa (Baadhi), Sasa hiyo mishahara yenu huwa mnafanyia nini. Maana pamoja na kufanyiwa yote hayo lakini unakuta account zenu hazina kitu. pesa zenu huwa mnafanyia nini.
mmmmh tunajiwekea akiba account ya malengo maana nyie wanaume mmezidi michepuko hatutaki dharau tenaaa.