Hamnunui viwanja
Hamjengi
Magari mnahongwa
Voucher mnahongwa
Nguo mnapelekwa shopping
Outing mnatolewa
Nguo mnanunuliwa
Kodi za mnalipiwa
Simu mnanunuliwa
Na bado mnapiga mizinga ambayo inawasaidia kwa saloon na pesa ndogondogo za kutuma kwenu
KILA KITU NAFANYIWA (BAADHI), Sasa hiyo mishahara yenu huwa mnafanyia nini? Maana pamoja na kufanyiwa yote hayo lakini unakuta account zenu hazina kitu. PESA ZENU MNAFANYIA NINI?
Tunahonga.
nimewauliza wanawake, kwani nawewe ni mwanamke? wakisema wanawake wakutane uwanja wa taifa nawewe utaenda????Tunahonga.
Mzuri wa nini?acha ubwege kuna wanawake wapiganaji wanajinunulia vitu vya thamani kwa nguvu zao,wanamiliki vitu vya thamani ikiwemo mijengo ya maana na magari makali wakati we unayejifanya kidume unazidi kuwa jeans Mpauko mtaani,acha kukariri kwamba wanawake wote wanaishi kwa kuhongwa!!
Basi we sio mzuri.
Hahahahahahahaha hilo nalo neno... Nashukuru kwa kumjibu ipaasavyo maana anafikir kila mwanamke alichonacho amehongwa!!!
hela zao huwapelekea waganga ambao huwaduwaza wanaume kufanya hayo yote
nimewauliza wanawake, kwani nawewe ni mwanamke? wakisema wanawake wakutane uwanja wa taifa nawewe utaenda????
kweli bibi kama wewe huwezi kuhongwa tena
Nilizo hongwa na Gozi langu sijazimaliza.
nimewauliza wanawake, kwani nawewe ni mwanamke? wakisema wanawake wakutane uwanja wa taifa nawewe utaenda????
we mtoto usinitanie kwa unachokisema