Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
1.Hamnunui viwanja.
2.Hamjengi.
3.Magari mnahongwa.
4.Voucher mnahongwa.
5.Nguo mnapelekwa shopping.
6.Outing mnatolewa.
7.Nguo mnanunuliwa.
8.Kodi za mnalipiwa.
9.Simu mnanunuliwa,
10.Bado mnapiga mizinga ambayo inawasaidia kwa saloon na pesa ndogondogo za kutuma kwenu.
Kila kitu mnafanyiwa (Baadhi), Sasa hiyo mishahara yenu huwa mnafanyia nini. Maana pamoja na kufanyiwa yote hayo lakini unakuta account zenu hazina kitu. pesa zenu huwa mnafanyia nini.
2.Hamjengi.
3.Magari mnahongwa.
4.Voucher mnahongwa.
5.Nguo mnapelekwa shopping.
6.Outing mnatolewa.
7.Nguo mnanunuliwa.
8.Kodi za mnalipiwa.
9.Simu mnanunuliwa,
10.Bado mnapiga mizinga ambayo inawasaidia kwa saloon na pesa ndogondogo za kutuma kwenu.
Kila kitu mnafanyiwa (Baadhi), Sasa hiyo mishahara yenu huwa mnafanyia nini. Maana pamoja na kufanyiwa yote hayo lakini unakuta account zenu hazina kitu. pesa zenu huwa mnafanyia nini.