Wanawake ni watu Special sana ila basi tu

Wanawake ni watu Special sana ila basi tu

Hayo uliyoandika, umeandika ili kupata public attention tu.

Kichwa cha habari kipo sahihi wanawake ni watu special. Ila contents za Uzi wako zinaelezea kwa namna ya tofauti.

Mwanamke anafaa kutunzwa,kuhudumiwa,kujaliwa n.k. Hivi vyote hata enzi za wazee wetu vilikuwepo na tulikuwa tunaviona. Mwanamke alikuwa anahudumiwa kwa 100% kwasababu na yeye alikuwa anatekeleza majukumu yake kwa 100%.

Hebu angalia sasa hivi, jukumu la watoto kapewa dada wa kazi, usafi wa nyumba kapewa dada wa kazi, n.k. Baba na Mama wote mnaondoka asubuhi mnarudi jioni, show hupewi mpaka aamue yeye, sababu anayotoa ni kwamba anachoka sana, ila cha ajabu hela yake inayopatikana unasema ni yake yeye tu, 😅 😅😅😅 Nini maana ya familia sasa?

Alaf haya ya kusema hela ya mwanamke ni ya kwake tu, huwa yanaongelewa kwenye mitandao tu kama hivi.

Anayetakiwa kuhudumiwa kwa 100% ni ambae anajua majukumu yake kama mke na kuyetekeleza kwa 100%.
 
Mwanamke mmoja kwenye dini ya uislamu huko Iran, hakufunikwa kichwa wakamuua.
Haki siku zote zinaenda na wajibu

Ingawa sikubaliani na uamuzi wao waliochukua kwasababu hata Sheria ya Dini haisemi asiyejifunika auwawe

Hayo maamuzi Yao ni batili.
 
Ukiona umeowa mwanamke lakini kilakitu anajiamulia na hakuombi ushaur hata akija na mawazo yake ni Kwamba kashaamua anatekeleza hata ukikataa duh apo bhado hujaowa inabidi urudie
Nakubaliana na wewe mkuu
 
Haya mambo tuyaache mwanamke kwa sasa lazima nae aandaliwe na ajue kupambana tena mfundishe bila kuchoka ajue kupambana ...jaman kuna kufa,kuumwa na kufukuzwa kazi sasa km mkeo ulikua hujamfungulia ama biashara ama kumtafutia kazi ndo kila rangi utaziona .
Mm nilipata ajari nikawa home km miezi sita lakini huwezi amini hapo home hakuna kilicho haribika kila kitu kilikua sawa maana wife nilishawekeza anajiweza sana na hana shida ktk kusaidia familia.Sasa ww jifanye huyo mkeo ni mdoli wako utakuja kulia siku moja ..dunia imebadilika sana sio ya kipindi kile.
Mwanamke hajakatazwa asijishughulishe

Anaweza kujishughulisha na itakapotokea dharula kama iliyokupata wewe bilashaka ataisaidia familia yake unless awe na roho mbaya Sana

Lakini sio wewe uko fiti halafu ukampangia majukumu au ukalazimisha afanye majukumu Fulani ya kifamilia utakuwa unakosea,ni Bora mkaongea kama wanandoa na kushauriana namna ya kukupa backup kwakuwa huyo ni mkeo.

Always timiza wajibu wako kama kiongozi wa familia.

Na hatusemi wanawake wasisaidie wenzi wao laa!
 
Kwahiyo hizi harakat za haki sawa zinafanywa na wanawake wa kikristo nyie waslam hamtak haki sawa
 
Hayo uliyoandika, umeandika ili kupata public attention tu.

Kichwa cha habari kipo sahihi wanawake ni watu special. Ila contents za Uzi wako zinaelezea kwa namna ya tofauti.

Mwanamke anafaa kutunzwa,kuhudumiwa,kujaliwa n.k. Hivi vyote hata enzi za wazee wetu vilikuwepo na tulikuwa tunaviona. Mwanamke alikuwa anahudumiwa kwa 100% kwasababu na yeye alikuwa anatekeleza majukumu yake kwa 100%.

Hebu angalia sasa hivi, jukumu la watoto kapewa dada wa kazi, usafi wa nyumba kapewa dada wa kazi, n.k. Baba na Mama wote mnaondoka asubuhi mnarudi jioni, show hupewi mpaka aamue yeye, sababu anayotoa ni kwamba anachoka sana, ila cha ajabu hela yake inayopatikana unasema ni yake yeye tu, 😅 😅😅😅 Nini maana ya familia sasa?

Alaf haya ya kusema hela ya mwanamke ni ya kwake tu, huwa yanaongelewa kwenye mitandao tu kama hivi.

Anayetakiwa kuhudumiwa kwa 100% ni ambae anajua majukumu yake kama mke na kuyetekeleza kwa 100%.
Mkuu Kwanza nashukuru Kwa mchango wako wenye tija

Lakini

Kuna kitu umekizungumza hapa kuwa zamani mwanaume alikuwa anamhudumia mwanamke asilimia Mia na Bila Shaka ndoa zilikuwa nzuri na mahaba kama yote.

Je huoni kwamba hiki cha kuanza kutafuta wote ni chimbuko la uozo katika ndoa zetu?

Na labda nikuweke Sawa Tu, sikuzungumza haya Kwa kutaka public attention bali ndio Hali halisi ambayo wanaume wengi hatutaki kuisikia.
 
Mkuu Kwanza nashukuru Kwa mchango wako wenye tija

Lakini

Kuna kitu umekizungumza hapa kuwa zamani mwanaume alikuwa anamhudumia mwanamke asilimia Mia na Bila Shaka ndoa zilikuwa nzuri na mahaba kama yote.

Je huoni kwamba hiki cha kuanza kutafuta wote ni chimbuko la uozo katika ndoa zetu?

Na labda nikuweke Sawa Tu, sikuzungumza haya Kwa kutaka public attention bali ndio Hali halisi ambayo wanaume wengi hatutaki kuisikia.
Wanatamani kuhudumiwa na kupewa matunzo kama wake, ila hawako tayari kuishi kama wake.

How come?
 
Wewe Dada tajiri hujui utamu wa ndoa ,,ubarobaro Ni upuuzi mtupu...raha iwe ndani bhana ,,huo ujinga wa kuogopa kuchapiwa Ni utoto ,,,
Mkuu! ukipendwa saaana!! jua kuna kitu unafichwa! stukaaa wewe! ndo tulivyo sisi, ....hutakiii....... mie nawapa akili JF ili Mfunguke!...''Me'' popote ulipo kijiweni/kazini/Bar/ Nyumbani kwako/hata kanisa unalo sali

Ni lazima uwe na intelijensia fiche! inayokufanyia kazi! usiishi km Mbuzi wa kafara!!...utapitwa na Mengi, halafu utakuwa target ya mabaya kuyakuta kila siku!...nenda deeep! utajua kitu wewe! au hauna uwezo!
 
Hayo si malipo ni majukumu yangu. Nilipomtoa alikuwa anakula na kulala pia.
Unalipa ki-siasa mkuu funguka!! Kwa kisingizio cha ''Jukumu'' huko uliko mtoa aliaminishwa kazi ni Uhai!!...na ndo Msingi wa Maendeleo!.... km haitoshi .''asiye fanya kazi na asile!!''

Kama hafanyi kazi hapo kwako! hali chakula! na asipokula manake anakufa!!..... ivo wewe km wewe unalala na kuamka na mfu! kiroho hujui kuwa huyo ni mfu! .......ni km jiwe tu! kiroho alikufa miaka saba nyuma!
 
ast time niliona unatoa povu katika Uzi mmoja hivi Kwa makasiriko kama haya.

Unateseka ukiwa wapi?
Sahihi! kabisa! na ndo mlivyooo!! ni lazima useme makasiriko kwa sababu nimekusahihisha imani yako potofu ya kumdhalilisha mwanamke! narudia tena ''uachane nayo mara moja''!! sikuchekei wala kukubembeleza!

Madharau, madharua ya jamii yenu hiyo ya kumtunza mtu mzima km kifaa chako cha kutumia unavo taka!...hili povu hulioni?? ila umeona lile lililo kataaa, udhalilishaji wa mwanamke?

ndivo mlivyo kwa hulka!! hatutaki bana, mbona hamuelewi???? au mpaka tuwapigie ngoma?? na tukijua unafanya hivo, UWT team! tunakuja hapo kwako kumchukua huyo M-mama kwa lazima na kesi juu!

tutaomba JF itusaidie kuku-trace! utamlipia huyo ke kila kitu mpaka afike anapotaka yeye! au kifungo, au vyote viwili! na hii mnawafanyia sana wana vijiji! born town hawezi kubali ujinga km huuu!

sikia haka kawimbo ''wanawake na Maendeleo tufanye kazi tusonge mbele!! ee!'' vicky Kamata kaimba weeee!! mdada wa watu! mpaka amechakaa! hiyo jamii yenu haijaelewa tu mpaka leo???

Ke tuna wahitaji kujenga Taifa siyo kuzlishwa na kulishwa na kuletewa km wao ni Mahiti!! sometimes huyo unae mletea ana akili kubwa kuliko weye!!..tunamuhitaji hapa! .....unajifanya kamungu mtu??

Mungu na ubabe wake wote! alifanya kazi,... ke ni nani asifanye kazi inayoendana na kipaji chake??...nyie ndo mnaua vipaji nyie! muone kwanza!! Lady JD, Madona, Ellen G white, Mama Samia, J. Sharif nk,

wangekuwa na mawazo mfu km yako ungepata wapi Maongozi yaliyo tukuka?? na muziki wa sauti mwororo??! wewe km wewe nasema hivi ni '' Among de Serious of unique Talents Assassinators''

Halafu bila aibu unasema, Binafsi nina makasiriko! asa nimchekee Muuaji wa vipaji??......Unaua km Idd Amini halafu eti tuchekee tu! dat's Primitive uselessness nonsense!!!...Omba msamaha!!

jua tu! unabahati uko mbali! yaani weye ulifaa ni kipigo cha Mwiko! tena ule wa moto wa ugali, mateke, manguni, menooo! tupa kuleee! na msuli wako huo, na kapu lako la nyanya chungu!

ukalilie Msikitini/Kanisani/Polisi vizuri!......na ukinigusa tu, Segerea hiyoooo!.... unastahili kwenda huko! ili ukajifunze! najua polisi huendi!

sababau km ukienda kule polisi na msuli wako wenye alama ya ugali na masizi ya chungu piga picha kwanza. Manjagu .... watachekaaaaaaaaaaaaaaaaa!! mpaka wazimieeeeee.....
 
Mkuu! ukipendwa saaana!! jua kuna kitu unafichwa! stukaaa wewe! ndo tulivyo sisi, ....hutakiii....... mie nawapa akili JF ili Mfunguke!...''Me'' popote ulipo kijiweni/kazini/Bar/ Nyumbani kwako/hata kanisa unalo sali

Ni lazima uwe na intelijensia fiche! inayokufanyia kazi! usiishi km Mbuzi wa kafara!!...utapitwa na Mengi, halafu utakuwa target ya mabaya kuyakuta kila siku!...nenda deeep! utajua kitu wewe! au hauna uwezo!
Wewe utakuwa mzaramo au muhaya
 
Sahihi! kabisa! na ndo mlivyooo!! ni lazima useme makasiriko kwa sababu nimekusahihisha imani yako potofu ya kumdhalilisha mwanamke! narudia tena ''uachane nayo mara moja''!! sikuchekei wala kukubembeleza!

Madharau, madharua ya jamii yenu hiyo ya kumtunza mtu mzima km kifaa chako cha kutumia unavo taka!...hili povu hulioni?? ila umeona lile lililo kataaa, udhalilishaji wa mwanamke?

ndivo mlivyo kwa hulka!! hatutaki bana, mbona hamuelewi???? au mpaka tuwapigie ngoma?? na tukijua unafanya hivo, UWT team! tunakuja hapo kwako kumchukua huyo M-mama kwa lazima na kesi juu!

tutaomba JF itusaidie kuku-trace! utamlipia huyo ke kila kitu mpaka afike anapotaka yeye! au kifungo, au vyote viwili! na hii mnawafanyia sana wana vijiji! born town hawezi kubali ujinga km huuu!

sikia haka kawimbo ''wanawake na Maendeleo tufanye kazi tusonge mbele!! ee!'' vicky Kamata kaimba weeee!! mdada wa watu! mpaka amechakaa! hiyo jamii yenu haijaelewa tu mpaka leo???

Ke tuna wahitaji kujenga Taifa siyo kuzlishwa na kulishwa na kuletewa km wao ni Mahiti!! sometimes huyo unae mletea ana akili kubwa kuliko weye!!..tunamuhitaji hapa! .....unajifanya kamungu mtu??

Mungu na ubabe wake wote! alifanya kazi,... ke ni nani asifanye kazi inayoendana na kipaji chake??...nyie ndo mnaua vipaji nyie! muone kwanza!! Lady JD, Madona, Ellen G white, Mama Samia, J. Sharif nk,

wangekuwa na mawazo mfu km yako ungepata wapi Maongozi yaliyo tukuka?? na muziki wa sauti mwororo??! wewe km wewe nasema hivi ni '' Among de Serious of unique Talents Assassinators''

Halafu bila aibu unasema, Binafsi nina makasiriko! asa nimchekee Muuaji wa vipaji??......Unaua km Idd Amini halafu eti tuchekee tu! dat's Primitive uselessness nonsense!!!...Omba msamaha!!

jua tu! unabahati uko mbali! yaani weye ulifaa ni kipigo cha Mwiko! tena ule wa moto wa ugali, mateke, manguni, menooo! tupa kuleee! na msuli wako huo, na kapu lako la nyanya chungu!

ukalilie Msikitini/Kanisani/Polisi vizuri!......na ukinigusa tu, Segerea hiyoooo!.... unastahili kwenda huko! ili ukajifunze! najua polisi huendi!

sababau km ukienda kule polisi na msuli wako wenye alama ya ugali na masizi ya chungu piga picha kwanza. Manjagu .... watachekaaaaaaaaaaaaaaaaa!! mpaka wazimieeeeee.....
Wewe utakuwa una shida mahali sema ni ngumu kujijua tu
 
Wewe utakuwa mzaramo au muhaya
Ndiyo kwani kunaubaya mkuu?? wazaramo ni wema wamewaachia vijiji vyao hapo kariakooo mnakaa hamlipi kodi!! walitoa ardhi yao Ya DSM ili Tanganyika na africa wooote muwe huru!

Wahaya ni wasomi wajuaji! hutaki wasomi mkuu!....wanawapa huduma mwanana me'' wenu! wanakuwa safiii!...
 
Wewe utakuwa una shida mahali sema ni ngumu kujijua tu
Shida ni uhai Mkuu!...... ni wasi wasi pia! .....na wasi wasi ndo akili!..... kwa hiyo amini nina akili kuliko weye ambaye huna shida Mkuu!
 
ukitaka wengiwengi unamwaga mchele kwenye kuku wengi
Mkuu wanawake wameumbwa Kwa AJILI yetu, kwahiyo wala haihitajiki nguvu kubwa kuwapata.

Waonyeshe upendo nao watakupenda pia

Daah Ila umenichekesha Sana mkuu!

Pamoja Sana!
 
Back
Top Bottom