Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,234
- 17,826
Ni kweliHahahaa. Pole sana sababu ni kazi sana kujijua kama hapa unakosea haswa ukiwa umepiga yale mambo bila kuwa na mtu karibu wa kukushtua ukienda kinyume.
msaada muhimu sana.
Ni kweliHahahaa. Pole sana sababu ni kazi sana kujijua kama hapa unakosea haswa ukiwa umepiga yale mambo bila kuwa na mtu karibu wa kukushtua ukienda kinyume.
LusekeloHahaha, umenikumbisha xmass ya mwaka wa Jana kulikuwa na dem mmoja alikunywa pombe chakali. Katoa nguo zote kwenye baa. Kwa nini vijana wasimtoe nje na kuanza kujisevia. Walikula kinyama. Dogo mwenyewe ni affected na HIV.
hahahahha we basi tena !heheheheHongera. Mi nitaanza tar moja jan.![]()
Teh Teh wanywe ila kwa kiasi me sijawahi kuzungukwa na wapuuzi isipokuwa mmoja yeye 2-3 glass of wine anapigana huyoo hataki mazoea ukimshangaa tuu unaye!! Ukihudumia kwa nyodo unaye yeye ni ugomvi tuuu jmn
Naam ndo ivo sakayoLusekelo
Hahahahahahhahahaha, matumizi mazuri ya lugha wa kwetuHahahaa. Ninayo wa kwetu. Ila hii misemo iko bomba sana sababu hata hakuna haja ya kutumia maneno makali.
Nishakuchana mwanangu tena in good mood ACHA UNGESE, mambo ya utani na dini achana nayo usinletee tantarira sasa hivi. Hujui maana ya neno Sunna tulia tusiamshe yaliolala aiseeHivi wewe pia unajua maana ya neno ungese au unataka kuanzisha ligi tukuone ni mwenzake na delicious au marehemu kaoge
Nishakuchana mwanangu tena in good mood ACHA UNGESE, mambo ya utani na dini achana nayo usinletee tantarira sasa hivi. Hujui maana ya neno Sunna tulia tusiamshe yaliolala aisee
Huyu anataka alete tabu sasa hivi, mtu mwenyewe ndio kwanza nime-sign in halafu anataka aniharibie mood ya kusoma nyuzi humuninachowapendeaga waislam wapo sharp kutetea dini yao
Neno linaweza kuwa na maana nyingi, usikariri. Unajua mfano neno Imana ina maana ya Mungu kwa wenzetu na katika mkoa mmoja hapa Tanzania ni K. Kwetu ukisema kinu ni K wakati kwenu ni mtwangio. Acha kukariri na asifiaye mvua imemnyea (hivyo huwezi kuitwa watu ni wa ngese ikiwa wewe hujafumuliwa marinda). MBITIYAZA achana na huyo hajitambui.Nishakuchana mwanangu tena in good mood ACHA UNGESE, mambo ya utani na dini achana nayo usinletee tantarira sasa hivi. Hujui maana ya neno Sunna tulia tusiamshe yaliolala aisee
Me siongei maneno mengi boya wewe. Hizo habari za maana nyingi unazijua wewe aa.nina za maa.mayo. Wewe unajua Sunna maana yake nini? au unadhani maana yake ni ktomb. wa kwa mamaa yako???Neno linaweza kuwa na maana nyingi, usikariri. Unajua mfano neno Imana ina maana ya Mungu kwa wenzetu na katika mkoa mmoja hapa Tanzania ni K. Kwetu ukisema kinu ni K wakati kwenu ni mtwangio. Acha kukariri na asifiaye mvua imemnyea (hivyo huwezi kuitwa watu ni wa ngese ikiwa wewe hujafumuliwa marinda). MBITIYAZA achana na huyo hajitambui.
Huu ni utoto na mimi siwezi kupoteza muda na watoto bye!!!!Me siongei maneno mengi boya wewe. Hizo habari za maana nyingi unazijua wewe aa.nina za maa.mayo. Wewe unajua Sunna maana yake nini? au unadhani maana yake ni ktomb. wa kwa mamaa yako???
Safari njema na I warn you tena peaceful mshkaji wangu, achana na kutania dini za watu. Dini ndio zinasababisha majanga mengi kwenye jamii, respect someone religion na hakutakuwa na ugomvi between us. One loveHuu ni utoto na mimi siwezi kupoteza muda na watoto bye!!!!
Hilo jina limenikumbusha mbaaaaliiiiiNaam ndo ivo sakayo
kuna teams mcharuko, hao wakiingia bar, wanaanza na ngum ngum alafu wanakuja kumalizia na laini tayari kushakucha, ukipishana ni kama umepishana na gari la taka
Jifunzeni u Lady kidogo, Mwanamke kuwa mlevi haipendezi, unakuta mwanamke amekaa anakata Whisky dadadeki kama hana akili nzuri!
Mwanamke raha yake softy softy labda glass ya Dodoma wine kidogo halafu pia hali sana, badilikeni bhana.
Utoto kweli ni shida ungejua mimi ni dini ipi usingeyaaandika hayo!Safari njema na I warn you tena peaceful mshkaji wangu, achana na kutania dini za watu. Dini ndio zinasababisha majanga mengi kwenye jamii, respect someone religion na hakutakuwa na ugomvi between us. One love
Bibie naona hujui lengo la pombe, pombe ni kilevi, ina kilevi maana yake mtu anaekunywa anataka kulewa na raha ya pombe uyumbe..Halafu nasikiaga eti baadhi yao wakilewa huwa pombe inakimbilia kule kwa bibi eti. Yaani anayekuja twende. Hahahaaa
Ila pombe isiyo na kipimo sio aisee kama inanywewa bora hao wanywaji wanywe kwa kiasi angalau wajue hata njia ya kurudi majumbani.
![]()
![]()
![]()
![]()
Pasi na Shaka ni MTU wa mbeyaHilo jina limenikumbusha mbaaaaliiiii