Hahaaa! Usijali mkuu. Mi sina makuu na wewe mtaalam wa strawberry.hahha nisamehe mkuu
Hahaaa! Usijali mkuu. Mi sina makuu na wewe mtaalam wa strawberry.hahha nisamehe mkuu
Hahaha, Mkuu hiyo Faru John ndiyo pombe gani aisee?Nilitoka na kadem kamoja mm naagiza Serengeti lite kakaagiza faru John stimu zilikata
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
BapaHahaha, Mkuu hiyo Faru John ndiyo pombe gani aisee?
Mfukua Makaburi kwelilkweli...Ndio maana mimi sidate na mwanamke anaekunywa pombe. Kama anakunywa basi niwe naenda nae bar.
Nishatafuna wanawake wengi sana ambao nawaokota bar, ukikaa nae jiran tu akalewa basi unajiokotea mzoga unaenda kula.
Mimi huwezi kuacha kunikuta maeneo ya bar naotea mizoga ingawa mimi sijawahi na hua sinywi pombe.
Mwanamke akishalewa ushindwe mwenyewe kumla. Hata nikitongoza mwanamke akawa anasumbua basi namuomba kumtoa, akikubali na akawa anakunywa basi siku hyo hyo namtafuna.
Okey, watu wa mbeya ndo zao ni wakarim sana sana, ni zaidi ya ndugu. Hata Mimi ndo ivo.Hapana
Sio kwa ubaya Mkuu, alikuwa zaidi ya ndugu kwangu miaka hiyooo!!! Ni mtu mmoja muhimu sana kwenye maisha yangu,alinisaidia kwa kweli. Mungu azidi mtunza huko aliko
omgHahaaa! Usijali mkuu. Mi sina makuu na wewe mtaalam wa strawberry.
Barikiwa MkuuOkey, watu wa mbeya ndo zao ni wakarim sana sana, ni zaidi ya ndugu. Hata Mimi ndo ivo.