Hahahaha emmy hata soda bacDuuh! Mie situmiagi hiyo kitu aiseee.
Hahahaha emmy hata soda bacDuuh! Mie situmiagi hiyo kitu aiseee.
Bac we simbaNdio maana mimi sidate na mwanamke anaekunywa pombe. Kama anakunywa basi niwe naenda nae bar.
Nishatafuna wanawake wengi sana ambao nawaokota bar, ukikaa nae jiran tu akalewa basi unajiokotea mzoga unaenda kula.
Mimi huwezi kuacha kunikuta maeneo ya bar naotea mizoga ingawa mimi sijawahi na hua sinywi pombe.
Mwanamke akishalewa ushindwe mwenyewe kumla. Hata nikitongoza mwanamke akawa anasumbua basi namuomba kumtoa, akikubali na akawa anakunywa basi siku hyo hyo namtafuna.
Ni kweli kwa %60 baadhi yao. Mi binafsi niliwahi kukutana nae wa namna hiyo. Tulikua tunafahamiana kidogo akiwa hajalewa uandae dhana nzito za kupigania ili umkamate.Halafu nasikiaga eti baadhi yao wakilewa huwa pombe inakimbilia kule kwa bibi eti. Yaani anayekuja twende. Hahahaaa
Ila pombe isiyo na kipimo sio aisee kama inanywewa bora hao wanywaji wanywe kwa kiasi angalau wajue hata njia ya kurudi majumbani.
![]()
![]()
![]()
![]()
Hahaha, same idea.Ndio maana mimi sidate na mwanamke anaekunywa pombe. Kama anakunywa basi niwe naenda nae bar.
Nishatafuna wanawake wengi sana ambao nawaokota bar, ukikaa nae jiran tu akalewa basi unajiokotea mzoga unaenda kula.
Mimi huwezi kuacha kunikuta maeneo ya bar naotea mizoga ingawa mimi sijawahi na hua sinywi pombe.
Mwanamke akishalewa ushindwe mwenyewe kumla. Hata nikitongoza mwanamke akawa anasumbua basi namuomba kumtoa, akikubali na akawa anakunywa basi siku hyo hyo namtafuna.
Hahahaa. Umeona sasa na huo ndio ubaya wa hii kitu sababu yanayofanyika mengi yanakuwa hayatokani na akili ya kawaida bali yanatokana na ile akili ya pombe.Ni kweli kwa %60 baadhi yao. Mi binafsi niliwahi kukutana nae wa namna hiyo. Tulikua tunafahamiana kidogo akiwa hajalewa uandae dhana nzito za kupigania ili umkamate.
Ila nilikutana nae amelewa akamtoroka jamaa ambae alimnywesha via zake za kutosha ili apige mzigo. Akaja kinikumbatia mimi nikaenda nae chemba, asubuhi yake, yote tuliyofanya hakumbuki hata moja. Akawa anajisikia aibu na hakutaka hata nimkumbushe alikubali kwamba kitendo kilifanyika baada ya kumwambia amuulize shoga yake.
Pombe mbaya jamaniiHahahaa. Umeona sasa na huo ndio ubaya wa hii kitu sababu yanayofanyika mengi yanakuwa hayatokani na akili ya kawaida bali yanatokana na ile akili ya pombe.
Inapokwisha sasa ndio hubaki aibu na majuto.



Hahaaa. Na ubaya wake ni pale inaponywewa bila kipimo.Pombe mbaya jamanii![]()
Hahahhaah mara nyingi inakimbilia kwenye vikojoleo ndo shida kubwa hiyoHahaaa. Na ubaya wake ni pale inaponywewa bila kipimo.






wa kwetu hii misamiati unayo kumbe???Halafu nasikiaga eti baadhi yao wakilewa huwa pombe inakimbilia kule kwa bibi eti. Yaani anayekuja twende. Hahahaaa
Ila pombe isiyo na kipimo sio aisee kama inanywewa bora hao wanywaji wanywe kwa kiasi angalau wajue hata njia ya kurudi majumbani.
![]()
![]()
![]()
![]()
Acha ungese wewe, unajua maana ya neno sunna au unataka kuanzisha ligi tuonekane wadini???Tatizo lako ushabiki! Sisi wachagga kunywa pombe sunna
Umenikumbusha kuna mdada Staff mwezetu kazini mwanamke ana kunywa yuleeeeeeeeee sijapata kuona,Wanaume na uwanaume wao wali bakia kumuangalia, kinachokera ni pale bombe ikizidi anakua ovyo kabisa mnaweza kuondoka mkamuacha,wala haoni tabu mara kachukuliwa na huyu mara na yule mpaka unasema huyu sidhani kama hawaja mfanya kitu kibaya,halafu ni mzuri ila balaa alokua nalo ni hilo..Jifunzeni u Lady kidogo, Mwanamke kuwa mlevi haipendezi, unakuta mwanamke amekaa anakata Whisky dadadeki kama hana akili nzuri!
Mwanamke raha yake softy softy labda glass ya Dodoma wine kidogo halafu pia hali sana, badilikeni bhana, hasa Wanawake wa kutoka KLM ni walevi balaaa, ...
Hahaaa. Ujue huwa sielewi kwa sababu gani akinywa mwanamke pombe ikimbilie huko.Hahahhaah mara nyingi inakimbilia kwenye vikojoleo ndo shida kubwa hiyo![]()
Hahahaa. Ninayo wa kwetu. Ila hii misemo iko bomba sana sababu hata hakuna haja ya kutumia maneno makali.wa kwetu hii misamiati unayo kumbe???
Labda kule ndo kuna chujio si ndo inapotokeaHahaaa. Ujue huwa sielewi kwa sababu gani akinywa mwanamke pombe ikimbilie huko.



kwa kukojolewaHahaaaa. Ila hilo chujio kulalia upande mmoja pekee hata sio poa jamani.Labda kule ndo kuna chujio si ndo inapotokeakwa kukojolewa
Inabidi ilalie pande zoteee si etiiHahaaaa. Ila hilo chujio kulalia upande mmoja pekee hata sio poa jamani.



