Wanawake ni walevi hadi wanakera!

Wanawake ni walevi hadi wanakera!

Nashukuru mungu mimi si mnywaji rafiki sijawahi sidhani na naomba Mungu anisaidie.

Dada etu huyo wee acha tu akiwa hukooo anayarudi si mchezo sasa afike nyumbani ni matusi kwa kwenda mbele....
Ashawahi hadi kutaka kumpiga mama ila akili sijui ilitoka wapi. Nakumbuka Shangazi yeye alikula kofi . Kweli mama ni mama



Cc Smart911



Cc Smart911
Hongera sana rafiki. Sababu pombe tena ile isiyo na kipimo haichelewi kutuaibisha hasa sisi wanawake..
 
Wa Dada wa zamani walikuwa wanajua kupika vizuri kama mama zao wadada wa sasa kupika hawajui wanakunywa pombe kuliko baba zao
 
Kuna siku nilikuwa moro mjini maeneo nimejipumzisha...

Ama kweli watoto wa kike wanaharibikiwa sana wakiwa chuoni unakuta wanafunzi wa kike wanakung'uta bia kama maji mix sigara....

Siku hiyo nikaww najiwazia hivi wakiwa nyumbani wana behave hivi kweliii....
 
Nashukuru mungu mimi si mnywaji rafiki sijawahi sidhani na naomba Mungu anisaidie.

Dada etu huyo wee acha tu akiwa hukooo anayarudi si mchezo sasa afike nyumbani ni matusi kwa kwenda mbele....
Ashawahi hadi kutaka kumpiga mama ila akili sijui ilitoka wapi. Nakumbuka Shangazi yeye alikula kofi . Kweli mama ni mama



Cc Smart911



Cc Smart911
Huyo kwenye ulevi, hatakuwa kashawai siku mmoja kulewa na watu wakambaka masela
 
Pesa yake,unampangiaje cha kunywa?
 
G
Halafu nasikiaga eti baadhi yao wakilewa huwa pombe inakimbilia kule kwa bibi eti. Yaani anayekuja twende. Hahahaaa

Ila pombe isiyo na kipimo sio aisee kama inanywewa bora hao wanywaji wanywe kwa kiasi angalau wajue hata njia ya kurudi majumbani.

hujawaji kuonja?
 
Mwanamke mnywaji mie sijui namuonaje!!! Mtanisamehe lakini mie naumia kweeeli kumuona mwanamke amekaa na kwa nywaji kikali tena baa!!! Huwa nahisi kuna shida mahali tuu
 
MBITIYAZA kunywa mama,maisha yenyewe haya mafupi.

mie nakunywa ninapoamua ! wine yangu safiiiiiiiiiiiiiiiii natulia !wala sion watu wawili wawili ! na haijawah nishuka chini !pombe unaweza kuidrive wewe !huwezi niambia ninywe wine na Ngariba1 inishuke kwa bibi akuu !utasubiri kweli kweli !itashuka chini nikiwa na mume ! mie huwa ipo hvyo !@piga ua galagaza !haiwez niendesha !

tena nimemiss hatari !
 
Back
Top Bottom