Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,110
- 122,503
Inabidi ilalie pande zoteee si etii![]()
kweli kabisa.Ila sijui ingekuwaje aisee.
Inabidi ilalie pande zoteee si etii![]()
kweli kabisa.Ingekua ni baraaa![]()
![]()
![]()
kweli kabisa.
Ila sijui ingekuwaje aisee.


in Mura's voice




Hahahaa. Wacha kabisa aiseee.Ingekua ni baraaain Mura's voice
![]()
Hahahaa. Kweli kabisa bora mie hayo mambo yamenipita kushoto.Bora weye usokunywa maji ya njano![]()
Hahahahaha yapi yaliyopita kulia??Hahahaa. Kweli kabisa bora mie hayo mambo yamenipita kushoto.


i bet itakua misosiiiiii




Ewaaaaaa. Kula muhimu bana.Hahahahaha yapi yaliyopita kulia??i bet itakua misosiiiiii
![]()
Hahahahhaa haina noma kumaliza kilo mbili za mchele peke akoooEwaaaaaa. Kula muhimu bana.






Hahahahhaha hatari lakini salama
Hivi wewe pia unajua maana ya neno ungese au unataka kuanzisha ligi tukuone ni mwenzake na delicious au marehemu kaogeAcha ungese wewe, unajua maana ya neno sunna au unataka kuanzisha ligi tuonekane wadini???
Khakhakhaaaaaaa can't imagine ndo nishalewa sasa mweh!! Huwa tunakua vituko wee acha tu..Halafu nasikiaga eti baadhi yao wakilewa huwa pombe inakimbilia kule kwa bibi eti. Yaani anayekuja twende. Hahahaaa
Ila pombe isiyo na kipimo sio aisee kama inanywewa bora hao wanywaji wanywe kwa kiasi angalau wajue hata njia ya kurudi majumbani.
![]()
![]()
![]()
![]()
Khakhakhaaaaaaa can't imagine ndo nishalewa sasa mweh!! Huwa tunakua vituko wee acha tu..
Nina dada yangu yeye akilewa tu anaanza kukatika mbele za watu.
Mkute hajalewa sasa huwezi amini
Cc Smart911
Inapendeza zaidi wapendanao wakinywea nyumbani kwao.Halafu nasikiaga eti baadhi yao wakilewa huwa pombe inakimbilia kule kwa bibi eti. Yaani anayekuja twende. Hahahaaa
Ila pombe isiyo na kipimo sio aisee kama inanywewa bora hao wanywaji wanywe kwa kiasi angalau wajue hata njia ya kurudi majumbani.
![]()
![]()
![]()
![]()
Kweli kabisa kaka ili kuzuia aibu sababu unaweza kuta mtu na mwenza wake halafu mwenza akafanya vituko ambavyo havistahili.Inapendeza zaidi wapendanao wakinywea nyumbani kwao.
pombe sio nzuri, mimi mwenyewe ikinikolea huwa naongea vitu vsvyo vya kawaida aiseehHivyo na weye rafiki unakuwa umechangamka kidogo , jitahidi uwe na Shemela karibu wasije wakakuteka bure.![]()
Huyo dada yetu ni hatari ila ndio inavyokuwa vingi vinafanyika kwa akili ya ile pombe.
Ila sijajuaga mpaka leo ni kwanini iko hivyo.
Nashukuru mungu mimi si mnywaji rafiki sijawahi sidhani na naomba Mungu anisaidie.Hivyo na weye rafiki unakuwa umechangamka kidogo , jitahidi uwe na Shemela karibu wasije wakakuteka bure.![]()
Huyo dada yetu ni hatari ila ndio inavyokuwa vingi vinafanyika kwa akili ya ile pombe.
Ila sijajuaga mpaka leo ni kwanini iko hivyo.