Wanawake ni walevi hadi wanakera!

Wanawake ni walevi hadi wanakera!

Acha ungese wewe, unajua maana ya neno sunna au unataka kuanzisha ligi tuonekane wadini???
Hivi wewe pia unajua maana ya neno ungese au unataka kuanzisha ligi tukuone ni mwenzake na delicious au marehemu kaoge
 
Sasa, unawazungumziaje na mabinti wanaovuta sigara kwa karne hadi hii
 
Halafu nasikiaga eti baadhi yao wakilewa huwa pombe inakimbilia kule kwa bibi eti. Yaani anayekuja twende. Hahahaaa

Ila pombe isiyo na kipimo sio aisee kama inanywewa bora hao wanywaji wanywe kwa kiasi angalau wajue hata njia ya kurudi majumbani.

Khakhakhaaaaaaa can't imagine ndo nishalewa sasa mweh!! Huwa tunakua vituko wee acha tu..


Nina dada yangu yeye akilewa tu anaanza kukatika mbele za watu.
Mkute hajalewa sasa huwezi amini



Cc Smart911
 
Khakhakhaaaaaaa can't imagine ndo nishalewa sasa mweh!! Huwa tunakua vituko wee acha tu..


Nina dada yangu yeye akilewa tu anaanza kukatika mbele za watu.
Mkute hajalewa sasa huwezi amini



Cc Smart911

Hivyo na weye rafiki unakuwa umechangamka kidogo , jitahidi uwe na Shemela karibu wasije wakakuteka bure.

Huyo dada yetu ni hatari ila ndio inavyokuwa vingi vinafanyika kwa akili ya ile pombe.

Ila sijajuaga mpaka leo ni kwanini iko hivyo.
 
Halafu nasikiaga eti baadhi yao wakilewa huwa pombe inakimbilia kule kwa bibi eti. Yaani anayekuja twende. Hahahaaa

Ila pombe isiyo na kipimo sio aisee kama inanywewa bora hao wanywaji wanywe kwa kiasi angalau wajue hata njia ya kurudi majumbani.

Inapendeza zaidi wapendanao wakinywea nyumbani kwao.
 
Hivyo na weye rafiki unakuwa umechangamka kidogo , jitahidi uwe na Shemela karibu wasije wakakuteka bure.

Huyo dada yetu ni hatari ila ndio inavyokuwa vingi vinafanyika kwa akili ya ile pombe.

Ila sijajuaga mpaka leo ni kwanini iko hivyo.
pombe sio nzuri, mimi mwenyewe ikinikolea huwa naongea vitu vsvyo vya kawaida aiseeh
 
Hivyo na weye rafiki unakuwa umechangamka kidogo , jitahidi uwe na Shemela karibu wasije wakakuteka bure.

Huyo dada yetu ni hatari ila ndio inavyokuwa vingi vinafanyika kwa akili ya ile pombe.

Ila sijajuaga mpaka leo ni kwanini iko hivyo.
Nashukuru mungu mimi si mnywaji rafiki sijawahi sidhani na naomba Mungu anisaidie.

Dada etu huyo wee acha tu akiwa hukooo anayarudi si mchezo sasa afike nyumbani ni matusi kwa kwenda mbele....
Ashawahi hadi kutaka kumpiga mama ila akili sijui ilitoka wapi. Nakumbuka Shangazi yeye alikula kofi . Kweli mama ni mama



Cc Smart911



Cc Smart911
 
Back
Top Bottom