Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,121
- 122,551
Hahaaaa. Kweli kabisa wa kwetu.Hahahahahahhahahaha, matumizi mazuri ya lugha wa kwetu
Hahaaaa. Kweli kabisa wa kwetu.Hahahahahahhahahaha, matumizi mazuri ya lugha wa kwetu
Sawa Mkuu. Msalimie Kitosa. HahahaaaaBibie naona hujui lengo la pombe, pombe ni kilevi, ina kilevi maana yake mtu anaekunywa anataka kulewa na raha ya pombe uyumbe..
Sio maneno yangu haya ni maneno ya mlevi mmoja mtaani al maarufu kitosa.
HahahahahahaaaHalafu nasikiaga eti baadhi yao wakilewa huwa pombe inakimbilia kule kwa bibi eti. Yaani anayekuja twende. Hahahaaa
Ila pombe isiyo na kipimo sio aisee kama inanywewa bora hao wanywaji wanywe kwa kiasi angalau wajue hata njia ya kurudi majumbani.
![]()
![]()
![]()
![]()
Zitafika mkuu, namsubiri agonge vitu vyake maana akishalewa ndio anakuwa na akili timamu.Sawa Mkuu. Msalimie Kitosa. Hahahaaaa

Hahahaaa. Sawa Mkuu.Zitafika mkuu, namsubiri agonge vitu vyake maana akishalewa ndio anakuwa na akili timamu.![]()
![]()
Poa, asubuh njema mkuu.Hahahaaa. Sawa Mkuu.
Shukrani sana mkuu na kwako pia. Be blessed.Poa, asubuh njema mkuu.
Ahsante mkuu, baraka ziwe juu yetu sote.Shukrani sana mkuu na kwako pia. Be blessed.

EwaaaaaPasi na Shaka ni MTU wa mbeya
Alikufanyaje, au alikutenda au ulimtenda?.can you explain?. Utashangaa ndo mimiEwaaaaa
Ni mnyakyusa
HapanaAlikufanyaje, au alikutenda au ulimtenda?.can you explain?. Utashangaa ndo mimi
Huyu anataka alete tabu sasa hivi, mtu mwenyewe ndio kwanza nime-sign in halafu anataka aniharibie mood ya kusoma nyuzi humu
Kabisa, nshaachana nae nimempotezea kwa amani tu.... tena na moyo wangu safibasi kaka yameisha !msamehe tena na tena !nadhan hata nyie islam mnafundishwa kusamehe
Mimi tena...nilivyo nyoka juu ya mwembe. Maembe yanaiva kuyala siwezi ila naogopesha watu kupanda. Kwa ninavyokujua, hata tunywe tukiwa in our 'birthday suits' wala huwezi shtuka.mie nakunywa ninapoamua ! wine yangu safiiiiiiiiiiiiiiiii natulia !wala sion watu wawili wawili ! na haijawah nishuka chini !pombe unaweza kuidrive wewe !huwezi niambia ninywe wine na Ngariba1 inishuke kwa bibi akuu !utasubiri kweli kweli !itashuka chini nikiwa na mume ! mie huwa ipo hvyo !@piga ua galagaza !haiwez niendesha !
tena nimemiss hatari !
Umeanza kunisingizia sasa...naogopa 'kuua' hata sisimizi, sembuse.....'muuaji'
Umeanza kunisingizia sasa...naogopa 'kuua' hata sisimizi, sembuse.....