ndo maana nahis wanawaongelea wale vichwa pandhi ! utaanza kujiwehusha mke wa mtu sasa !wehukia kitandani kwako na mumeo !i saw u on that day !safii kabisa !ni bandika bandua na msos !lolMi nakunywaga tu sijawahi lewa...taratibbbb
Nahitaji maombi ya kupungusa msosi, ni balaando maana nahis wanawaongelea wale vichwa pandhi ! utaanza kujiwehusha mke wa mtu sasa !wehukia kitandani kwako na mumeo !i saw u on that day !safii kabisa !ni bandika bandua na msos !lol
Vizuri mama,kwani unamwogopa sn ngariba?mie nakunywa ninapoamua ! wine yangu safiiiiiiiiiiiiiiiii natulia !wala sion watu wawili wawili ! na haijawah nishuka chini !pombe unaweza kuidrive wewe !huwezi niambia ninywe wine na Ngariba1 inishuke kwa bibi akuu !utasubiri kweli kweli !itashuka chini nikiwa na mume ! mie huwa ipo hvyo !@piga ua galagaza !haiwez niendesha !
tena nimemiss hatari !
Nahitaji maombi ya kupungusa msosi, ni balaa
Basi inawezekana hapa "waarabu wa pemba wajuana kwa viremba" kuna jinsi mwafahamiana na ngariba.Ngoja nimwite
Namwitaa,alikufanya nn mpaka uogope hivo?hahahaha hakuna mkuu! usimwite
'muuaji'Namwitaa,alikufanya nn mpaka uogope hivo?
Uzuri huwa naongea maneno yasiyoudhi watu. Najitahidi ku maintain ukimya wangu.Hahahaaa. Hivyo kwa hapo inabidi kujitahidi yale maneno mengi kuyazuia.
Akinywa nyumban na babe wakeMwanamke mnywaji mie sijui namuonaje!!! Mtanisamehe lakini mie naumia kweeeli kumuona mwanamke amekaa na kwa nywaji kikali tena baa!!! Huwa nahisi kuna shida mahali tuu
Hahaaa. Ila itakuwa unapata shida au ndio wifi yangu anakuwa na kazi ya kukufinya mapajani kila unapokosa utulivu.Uzuri huwa naongea maneno yasiyoudhi watu. Najitahidi ku maintain ukimya wangu.
AhhahaahhaaahHahaaa. Ila itakuwa unapata shida au ndio wifi yangu anakuwa na kazi ya kukufinya mapajani kila unapokosa utulivu.
Hahahaa. Pole sana sababu ni kazi sana kujijua kama hapa unakosea haswa ukiwa umepiga yale mambo bila kuwa na mtu karibu wa kukushtua ukienda kinyume.Ahhahaahhaaah
Kwa bahati nzuri au mbaya bado wifi yako sjamtafuta.
najidhibiti mwenyewe tu.
Hongera. Mi nitaanza tar moja jan.hahahahhaa mie shoga nimeweza !nilitia NIA kali sana !nimelose 2kgs nw ! najisikia raha ajabu ! hapa nimekula mchicha bakuli zima !sana sana nitakula saa 2 tena bas !hapo kati mie ilikua shida jaman !

