Wanawake ni viumbe wa ajabu sana

Wanawake ni viumbe wa ajabu sana

Natumai hamjambo wanabodi.

Wakuu hawa viumbe wa kuitwa wanawake ni viumbe wa ajabu sana, kuna dada mmoja mwenye watoto 5 alitelekezwa na mumewe maisha yakampiga mpaka basi... kwa kua mungu ni mwema, akamkutanisha na mwanaume mwenye pesa japo ana tatizo la nguvu za kiume...

Mwanaume alimueleza yule dada matatizo yake na akamwambia kama anaridhia basi amuoe, yule dada akakubali kuolewa na maisha yakafana sana.

Badae huyu dada akapata mchepuko ukawa unamgegeda, alivyo mjinga akasahau shida alizopitia akaamua kutoka kwa mwanaume anaemlelea familia yake bila shida akahamia kwa mchepuko ambae hana mbele wala nyuma.

Sasa maisha yamempiga analala njaa na familia yake anatamani arudi kwa yule bwana bt ndo haiwezekani tena, wanawake kuweni makini sana mfanyapo maamuzi juu ya maisha yenu, ni bora ukawa na mchepuko wa kukutoa ham huku upo kwako.

Huyu dada ukimuona anatia huruma sana, anaokena kama mzee akati ni dada wa miaka 30 pekee.
 
maisha muda mwingine ni kama namba 8 muda mwingine ulipo anzia ndipo utakapo ishia...!
 
mkuu wadada wasio na shule wanamtihani sana alafu hata hawajionei huruma
Ni kweli Kama huyo namhurumia kweli kuwa na 5 kids ulezi si mchezo hafu kapata wakumsitiri yeye anahangaika ka bisi kikaangoni.
 
Itakuwa huko vijijini maana watu wanaolewa wadogo na kuzaa watoto hata kumi, huku mjini umri huo mtu hata hajaolewa
Ninaemsemea Mimi Ni wa mjini japo rate kubwa iko vijijini make kwa kijijini binti akifikisha miaka 30 hajaolewa na hasomi au hana kikwazo kinachomzuia kuolewa huyo Mara nyingi huishia single life.
 
Ninaemsemea Mimi Ni wa mjini japo rate kubwa iko vijijini make kwa kijijini binti akifikisha miaka 30 hajaolewa na hasomi au hana kikwazo kinachomzuia kuolewa huyo Mara nyingi huishia single life.
Mjini gani hyo au ndio buza huko
 
Basi huyo mjini hakuja msaidia sikuhizi elimu za uzazi kila corner Hadi wanafunzi wa secondary wanatumia uzazi, iweje yeye mtu mzima ashindwe kujiongeza?
Kwahy kosa Ni nini kuzaa watoto 6 katika umri wa miaka 31 au kosa lake Ni kutofautiana mtazamo naww kwamba hakuzingatia uzazi wa mpango???
Katika maisha kila mmoja anapanga aina ya maisha anayotaka.. Shda Ni kuzaa watoto wengi ambao huwezi kuwalea lakini kama unao uwezo wa kuwalea hata hata ukizaa dozen no problem
 
Kwahy kosa Ni nini kuzaa watoto 6 katika umri wa miaka 31 au kosa lake Ni kutofautiana mtazamo naww kwamba hakuzingatia uzazi wa mpango???
Katika maisha kila mmoja anapanga aina ya maisha anayotaka.. Shda Ni kuzaa watoto wengi ambao huwezi kuwalea lakini kama unao uwezo wa kuwalea hata hata ukizaa dozen no problem
Kuzaa sio kosa shida yake ni kuzaa watoto wengi huku hajui kesho yake atakula Nini na wanawe anategemea kudanga,so nilijibu kulingana na post ya mleta mada kuhusu kuhangaika hata kula yake yet anazaa daily huku akitesa watoto.
 
Kuzaa sio kosa shida yake ni kuzaa watoto wengi huku hajui kesho yake atakula Nini na wanawe anategemea kudanga,so nilijibu kulingana na post ya mleta mada kuhusu kuhangaika hata kula yake yet anazaa daily huku akitesa watoto.
Ila Mimi nilikupa mfano ninaoujua Mimi sio mfano wa mtoa post huyu ninaemfaham anaish mjini ana miaka 31 watoto 6 na maisha safi tu
 
Back
Top Bottom