KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,068
Asilimia zaidi ya 93 ya wanawake Tanzania walimwonea wivu Kate kwa kuolewa na Williams.
Hali ilikua mbaya zaidi hasa kwa wale waliolewa na wanzungu,,na wengine walitamani hata waachike na hao wazungu wao, ilmradi tu waolewe na William.
Wengi wao walikua wakifunga ndoa na william ndotoni , huku wakiwa na wa ubavu wao pembeni.
Kifupi wlitamani wangekua wao.
Swali la kujiuliza,huu wivu unatokana na nini ilhali wakijua kwamba wasingeweza kwa namna yeyote ile kukutana na na huyo mjukuu wa malkia?
Hali ilikua mbaya zaidi hasa kwa wale waliolewa na wanzungu,,na wengine walitamani hata waachike na hao wazungu wao, ilmradi tu waolewe na William.
Wengi wao walikua wakifunga ndoa na william ndotoni , huku wakiwa na wa ubavu wao pembeni.
Kifupi wlitamani wangekua wao.
Swali la kujiuliza,huu wivu unatokana na nini ilhali wakijua kwamba wasingeweza kwa namna yeyote ile kukutana na na huyo mjukuu wa malkia?