BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,809
- 5,784
Nita adopt mtt na kumlea kumtunza kama wangu
Pole mkuu na pongezi kwa huyo mwenzako maana ni wachache wenye kujali kueleza wenzao ukweli mapema.kuna binti nilimwelewa na kumtazamia kuwa mama watoto lakini akaja kukiri kuhusu historia yake inayonipa probability kwenye uzazi, njia panda napofikiria
Hahaha......fafanua basiNdio maana kuna test, mock na Examination.
ugumu unaanzia hapo.Wako wababa hawana uwezo wakuzaa huwarusu wake zao wazae nje, ninajirani yangu kafanya ivo ila mwanamke anamdharau Sana mume wake
Hizi papuchi cku hizi zinatuleta shida kweliZamani upande wa kuumeni wakijua kijana wao anatatizo basi kaka yake atatumwa kumuingilia shemeji yake iliamzalie mdogo wake mwana.siku hizi ni ngumu sana kama mume ndo anashida nirahisi kusolve ila kama mke ndio shida ni ngum kidg.kama mume anashida na kunahaja ya kumfichia aibu,binti huitwa na kuambiwa atafute mimba,kisha mtoto hulelewa mle ndani na hata kaa atoke.
wewe hutatamani kuwa na wako?
yaan JF bhana; nani kasema hapo kunatakiwa text na mock? ndo maana wanapewa cheti kabla ya mtihanNdio maana kuna test, mock na Examination.