Wanawake na wanaume naombeni majibu

Wanawake na wanaume naombeni majibu

Dini yangu ya uislamu inaruhusu mume kuoa mke mwengine. Lakini pia inatokea sana kua mume hazai na baada ya kuoa mke mwengine basi anazaa, hii sijui inakuwaje kibiologia
Huyo kauziwa mbuzi kwenye gunia
 
@Nyalotsi maswali yako yanatega sana. Na uzi huu unaniingia kwelikweli kwani the very best frienda of myn yupo ktk hali hii na alishachek ikagundulika yeye ndio mwenye shida.
Ts sad and weakening.

Anyway... Mimi kama ndo ningekuwa ktk hali hyo nisingemuacha mke wangu ili akazae huko....hapo ni kama tatizo nimeshalijua na niko nae muda mrefu. Labda kama sikumpenda au yeye awe hakuwa na mapenzi ya dhati na kaanza vitimbi hapo itabidi tutengane. Ila kama mapenzi hayafi simuachi. Akitaka mtoto tunaenda na option niliyoisema hapo juu.

Ila wakati mwingine wanawake wawe wanajiongeza mapema. Let say umeshare same roof na mume 4 mnths hakuna mimba na umeenda hospt umeonekana mzima. Fanya mambo chepuka wakati ndoa mbichi kabisa..., asilimia 49 inabidi ihusike tu. Hapo ni siri kubwaa.
unajua wengi tunakwepa hili swali lakini yapo sana kwenye jamii.
na kutokana na kujifanya tunafuata sana dini tunafanya kimya kimya bila kujadiliana na ndio ndoa zinavunjika.
wanawake wengi wanavumilia lakini sio wanaume.
na bahati mbaya panapokuwa na shida wa kwanza kusemwa na jamii huwa ni mwanamke.
mwanamke kama ana tatizo na analazimisha waishi hivyo ataumia sana siku akiletewa watoto kuliko angekubaliana na hali yake mapema.
kuishi hivi hivi wakati unajua uko vizuri ni shughuli ujue!!!
kwa jamii yetu ya kitanzania ambayo mwanaume pamoja na kuwa na watoto na mkewe bado anazaa nje hawezi kukubali kukaa tuu hivi hivi.
 
Kama unampenda kwa dhati ni bora kuadopt yaishe maana unaweza kumuacha ukaenda kwa mwingine thinking kua utapata mtoto afu ikatokea usipate, afu yule uliemuacha akapata mtoto sijui sura yako utaificha wapi?
 
Kama unampenda kwa dhati ni bora kuadopt yaishe maana unaweza kumuacha ukaenda kwa mwingine thinking kua utapata mtoto afu ikatokea usipate, afu yule uliemuacha akapata mtoto sijui sura yako utaificha wapi?
kwa nini msitafute mtoto wa ndugu mkamlea na kumkuza??
maana hata huyo wa kuadopt si kuna siku atatafuta ndugu zake au wazazi wake halali!!!
kuliko kutafuta huyo stranger si mtafute mtoto wa ndugu tuu!?
 
KABLA SIJAPITIA MAWAZO YA WATU WENGINE HAYA NDO MAWAZO YANGU. TUNAPOKUJA HUKU DUNIANI NI ALIYEYETULETA HUKU TU NDO ANAYEJUA KUSUDI LA KUTULETA. HIVYO TUNAPEWA MAJUKUMU MBALIMBALI IKIWA NI PAMOJA NA KUOANA NA KUZAA. KUNA WENGINE WATAPEWA JUKUMU HILO WENGINE HAPANA KWA KUOA/KUOLEWA WENGINE NDIO KWA KUZAA WENGINE HAPANA. NI HATARI KUNG'ANG'ANIZA KUFANYA JAMBO AMBALO HUKURUHUSIWA NA ALIYEKULETA. UKIFANYA HIVYO HAINA TOFAUTI NA KULAZIMISHA KUWEKA GARI YA PETROL DIESEL UNAELEWA NINI KITAKACHOTOKEA. USHAURI: KAMA HAMKUJALIWA WATOTO FUATENI USHAURI WA KITAALAM KUHUSIANA NA JAMBO HILO IKISHINDIKANA JUENI KUWA HILO SIO JUKUMU LENU WAACHIENI WENGINE BILA SHAKA NYIE MMEPEWA KAZI NYINGINE. USHAURI WA KITAALAMU HAPA HAUHUSISHI SWALA LA IMPLANTATION AU NJIA ZINGINEZO ZENYE MRENGO WA KULAZIMISHIA KUPATA MTOTO. MKILAZIMISHA MNAWEZA KUJUTA KWA UAMUZI HUO. ASANTENI.
 
kwa nini msitafute mtoto wa ndugu mkamlea na kumkuza??
maana hata huyo wa kuadopt si kuna siku atatafuta ndugu zake au wazazi wake halali!!!
kuliko kutafuta huyo stranger si mtafute mtoto wa ndugu tuu!?
Ndugu gani atakubali kukupa mwanae toka akiwa mchanga umlee kama wa kwako?solution ni adoption pekee mnatafuta watoto wachanga wawili ambao hata wazazi wao hawajulikani mnawalea kama wa kwenu.
 
unajua wengi tunakwepa hili swali lakini yapo sana kwenye jamii.
na kutokana na kujifanya tunafuata sana dini tunafanya kimya kimya bila kujadiliana na ndio ndoa zinavunjika.
wanawake wengi wanavumilia lakini sio wanaume.
na bahati mbaya panapokuwa na shida wa kwanza kusemwa na jamii huwa ni mwanamke.
mwanamke kama ana tatizo na analazimisha waishi hivyo ataumia sana siku akiletewa watoto kuliko angekubaliana na hali yake mapema.
kuishi hivi hivi wakati unajua uko vizuri ni shughuli ujue!!!
kwa jamii yetu ya kitanzania ambayo mwanaume pamoja na kuwa na watoto na mkewe bado anazaa nje hawezi kukubali kukaa tuu hivi hivi.
unajua wengi tunakwepa hili swali lakini yapo sana kwenye jamii.
na kutokana na kujifanya tunafuata sana dini tunafanya kimya kimya bila kujadiliana na ndio ndoa zinavunjika.
wanawake wengi wanavumilia lakini sio wanaume.
na bahati mbaya panapokuwa na shida wa kwanza kusemwa na jamii huwa ni mwanamke.
mwanamke kama ana tatizo na analazimisha waishi hivyo ataumia sana siku akiletewa watoto kuliko angekubaliana na hali yake mapema.
kuishi hivi hivi wakati unajua uko vizuri ni shughuli ujue!!!
kwa jamii yetu ya kitanzania ambayo mwanaume pamoja na kuwa na watoto na mkewe bado anazaa nje hawezi kukubali kukaa tuu hivi hivi.
Hapo sasa ndipo tunakuja kwenye pendekezo la... 'KUVIPIMA VIZAZI' kabla ya Mahari na Ndoa.
 
KABLA SIJAPITIA MAWAZO YA WATU WENGINE HAYA NDO MAWAZO YANGU. TUNAPOKUJA HUKU DUNIANI NI ALIYEYETULETA HUKU TU NDO ANAYEJUA KUSUDI LA KUTULETA. HIVYO TUNAPEWA MAJUKUMU MBALIMBALI IKIWA NI PAMOJA NA KUOANA NA KUZAA. KUNA WENGINE WATAPEWA JUKUMU HILO WENGINE HAPANA KWA KUOA/KUOLEWA WENGINE NDIO KWA KUZAA WENGINE HAPANA. NI HATARI KUNG'ANG'ANIZA KUFANYA JAMBO AMBALO HUKURUHUSIWA NA ALIYEKULETA. UKIFANYA HIVYO HAINA TOFAUTI NA KULAZIMISHA KUWEKA GARI YA PETROL DIESEL UNAELEWA NINI KITAKACHOTOKEA. USHAURI: KAMA HAMKUJALIWA WATOTO FUATENI USHAURI WA KITAALAM KUHUSIANA NA JAMBO HILO IKISHINDIKANA JUENI KUWA HILO SIO JUKUMU LENU WAACHIENI WENGINE BILA SHAKA NYIE MMEPEWA KAZI NYINGINE. USHAURI WA KITAALAMU HAPA HAUHUSISHI SWALA LA IMPLANTATION AU NJIA ZINGINEZO ZENYE MRENGO WA KULAZIMISHIA KUPATA MTOTO. MKILAZIMISHA MNAWEZA KUJUTA KWA UAMUZI HUO. ASANTENI.
Mkuu Taste before use. Ushahuri huu ni mwepesi tu. Wala haihitaji vikao, au kujaza page.
 
@Nyalotsi maswali yako yanatega sana. Na uzi huu unaniingia kwelikweli kwani the very best frienda of myn yupo ktk hali hii na alishachek ikagundulika yeye ndio mwenye shida.
Ts sad and weakening.

Anyway... Mimi kama ndo ningekuwa ktk hali hyo nisingemuacha mke wangu ili akazae huko....hapo ni kama tatizo nimeshalijua na niko nae muda mrefu. Labda kama sikumpenda au yeye awe hakuwa na mapenzi ya dhati na kaanza vitimbi hapo itabidi tutengane. Ila kama mapenzi hayafi simuachi. Akitaka mtoto tunaenda na option niliyoisema hapo juu.

Ila wakati mwingine wanawake wawe wanajiongeza mapema. Let say umeshare same roof na mume 4 mnths hakuna mimba na umeenda hospt umeonekana mzima. Fanya mambo chepuka wakati ndoa mbichi kabisa..., asilimia 49 inabidi ihusike tu. Hapo ni siri kubwaa.
Mmmh hio ya kuchepuka ni maamuzi magumu...
 
Fikiria kwamba umeoana na mwanaume/mwanamke na mnaishi kwa amani.
ikatokea mmoja wenu hana uwezo wa kuzaa au kubeba/kubebesha mimba utafanyaje?
mmehangaika sana bila mafanikio yoyote na umri ndio unakwenda hivyo.
utamruhusu akaoe/kuolewa kwingine ili aendeleze uzao wake?
utamruhusu azae na mtu mwingine na mtoto alelewe na nyie wawili??
au utaamua tu nyie ndio muwe wa mwisho kwenye hicho kizazi cha uzao wenu??

naomba tujadiliane kijamii zaidi kuliko kinadharia.
Karibuni ndugu zangu.
Fuata maelekezo ya Muumba ya kuishi mpaka kifo kiwatenganishe.
 
hivi, hili suala la adoption tanzania lipo??
nani amewahi kushuhudia ndugu au mtu ameasili mtoto humu tanzania??
maana tusije tukawa tunaongea mambo ya US wakati tupo Tanzania ambako hata hizo sheria hazipo.
na mmewahi shuhudia ugomvi unaotokana na ndugu wa marehemu
 
Mbona watu wapo ambao wanaishi bila watoto wa kuwazaa?? Ni kukubaliana na matikeo na kuasili watoto tu mana hakuna namna!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom