Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,672
- 167,734
Kwakweli jibu langu ni SUmeleta jibu la kipima joto; ndiyo, hapana na sijui.
Kwa hiyo wewe umejibu sijui.
Kwakweli jibu langu ni SUmeleta jibu la kipima joto; ndiyo, hapana na sijui.
Kwa hiyo wewe umejibu sijui.
Basi tena ndo ntashukuru kwa hali hiyo, nitaadapt mtoto nikae nae japo najua watoto wa kuadapt nao wakikua wakubwa wanatafuta wazazi waojust imagine tu upo kwenye mazingira ya hivo.
utafanyaje??
mtoto wa kuadopt hawezi kuwa sehemu ya kizazi chako.Mkuu, mie kwa ushauri wangu. Kama mna uwezo wa ku adopt mtoto mfanye hivyo lakini mjadiliane na kila mmoja aafiki kwa amani. Kutoka nje ya ndoa kutafuta mtoto ni issue na itawapa shida. Ni bora muadopt kisheria na huyo mtoto atakuwa wa kwenu...
wanawake wenye mioyoni ya Sarah hatuexist tena 😀😀mtoto wa kuadopt hawezi kuwa sehemu ya kizazi chako.
ni tofauti kujua kuwa huyu ni baba/mama yako na kujua kuwa huyu ni mlezi wako tu.
aafu huwezi kujua unajitwisha kizazi cha aina gani!!.
hivi, mbona sarah alimruhusu ibrahimu kupata mtoto kwa suria wake baada ya kujua yeye hawezi kushika mimba??
hata rahel naye alipokuwa hazai alimpa yakobo suria wake azae naye ndio maana watoto wa mjakazi wake wakawa wakubwa kuliko kina yusuph!!!
kwa nini usimruhusu mkaachana kabisa ili yeye akaendelee na mambo mengine kuliko kuanza kutafuta kuishi na mtoto ambaye hamjui mtaishia wapi naye??Basi tena ndo ntashukuru kwa hali hiyo, nitaadapt mtoto nikae nae japo najua watoto wa kuadapt nao wakikua wakubwa wanatafuta wazazi wao
Hiyo nimewaza kwa upande wangu ningekua hivo, wanaume wengine kabla hata hujaruhusu tayari atakimbia nje kuzaa.....mie binafsi siwezi kuletewa mtoto nimlee ilhali tayari tupo kwenye ndoa it's okay kama nimemkuta nae, akiamua kuzaa nami nikajua ntashika 50 zangu
ha ha ha ha.wanawake wenye mioyoni ya Sarah hatuexist tena 😀😀
kuna binti nilimwelewa na kumtazamia kuwa mama watoto lakini akaja kukiri kuhusu historia yake inayonipa probability kwenye uzazi, njia panda napofikiriaNdio msimamo/mtazamo wangu mkuu kwangu ndoa ni zaidi ya hayo na pia kama mtu hajakosa kizazi kwa maswala yake mwenyewe (kama abortion na magonjwa ya zinaa) basi ni kuacha mwenyezi Mungu atende kazi yake.
wewe hutatamani kuwa na wako?Kama mume amegundua nina tatizo na yeye hana na nikiona anatamani kuwa na mtoto nitamruhusu akazae tuu.
Ila kama mimi sina tatizo mume analo nitampa moyo na tutachukua watoto yatima tutawafanya kuwa wetu milele
Kaka akizaa kwingine ni yeye tu na mtoto akileta ntakaa nae ila mme wangu hapana tuachane akazae salamaha ha ha ha.
kwa hiyo miaka hii mpo mnaotaka kukumbatia wenyewe?
akiwa ni kaka yako na mkewe ana tatizo, ndugu mtaruhusu mtoto wa kuadopt awe mrithi wa haki za kaka yenu?
na kumchukulia kama sehemu yenu kama wengine??
na ikiwa wewe uko vizuri na mr ndio shida, utaendelea kumvumilia??