Wanawake na usumbufu wa kuvaa blezia

Wanawake na usumbufu wa kuvaa blezia

humpendi mkeo wewe, mimi wangu hadi pichu namvalisha, alafu namgeuza nampa kakibao ka mapenz kwenye kalio lake halafu namuambia nenda mamaa! ni ishara ya mapenzi, mwanamke anayekupenda anathamini sana ukimfanyia vitu vidogovidogo kama hivyo kuliko hata kumnunulia hayo magari

Exactly! Nimeipenda sana hii! Hapo umemchunga mkeo kisayansi hawezi kukuacha wala kuchepuka trust me!
 
Si brazier tu, namvua pichu! Nampigia pasi! Nampa comments khs mavazi yk kbl hajaonwa na wa nje! Nampeleka saluun km atapenda! Namnyoa ma**zi! Mbn yp mengi tu ya kumfanyia mam- sap jamani!

Sikujua kumbe kuna wanaume wako romantic hivi? Kp it up
 
kweli aisee
kama nilivyommis baba watoto kila ikifika wakati wa kufunga zipu
wiki mbili zimekua kama miezi 2



Hupaswi kusubiri aombe umsaidie kwanza,akiipachika tu kwa nido kama uko nae room una offer kumsaidia kuifunga!!!
Ni vitu vidogo vidogo tu kama hivi ndio vinamfanya mtu aku miss usipokuwepo!!!
 
Hupaswi kusubiri aombe umsaidie kwanza,akiipachika tu kwa nido kama uko nae room una offer kumsaidia kuifunga!!!
Ni vitu vidogo vidogo tu kama hivi ndio vinamfanya mtu aku miss usipokuwepo!!!

Mwenzangu...analalamiiiika utafikiri kaombwa amfunge kilemba cha wanaijeria......
 
seriously!! hapo huelewi nini sasa....wanaume wengine so un-romantic! wenzio wanawapenga kamasi wenzi wao wewe unalalamika kufunga bra! kalagha bao. siku utashangaa mkeo kachukuliwa na dereva wa bodaboda anayejua kumvalisha na kumvua sidiria hapo ndo utakapo tia akili

Ah keimamae.... Makamasi tena? Ptuu!!!

Huo sasa utumwa.
 
Itakuwa unakuwaga na wake za watu ndio maana unaona kero. Ila kwa mkeo its romantic. Namuonea huruma incase ni mkeo.
 
wengine wanatafuta wa kuwafunga blazia, wengine wanaona taabu kumfunga blazia ampendae!!!!!!! kweli dunia ina mambo aisee!!!!!!!!!!!!!
 
Me huwa namuhudumia kila kitu hadi kumshelve mavazi yoteeeee.

Nakushangaa wewe bra una lalamika je kwenda dukani kumnunulia utaweza?
 
Hivi ni kudeka ua vp tukiwa wote utasikia naomba unifungie/unibanie blezia/sidilia yangu mbona nikiwa sipo unujibania mwenyewe

au mitego ya kiutu uzima mimi huwa sielewi elewi haka tabia

wakuu ni mimi tu au sote humu janvini

cc:heaven of earth.lady chaga:kiwatengu:deo cleore.na wana mmu wote

Da mkuu hivi kwani ukimfunga hilo blauz shida iko wapi? Mbona yeye huwa anatafuna hogo la jagombe? Mpatie mpenzi kile anachopenda.
 
Back
Top Bottom