hahahahaha sijui nioe kesho? umenitamanisha
Kuna watu kwao tafsir ya mapenzi ni kugegedana tu!!!
Namna hiyo hata mtu ukisafiri kidogo unammiss,siku mbili unaona mwakaMe huwa namuhudumia kila kitu hadi kumshelve mavazi yoteeeee.
Nakushangaa wewe bra una lalamika je kwenda dukani kumnunulia utaweza?
Hata mi nashaangaaa sijui wenzetu upendo wanaonyeshaje?...Acha kulalama......hayo ni mambo madogo tu
Hivi ni kudeka ua vp tukiwa wote utasikia naomba unifungie/unibanie blezia/sidilia yangu mbona nikiwa sipo unujibania mwenyewe
au mitego ya kiutu uzima mimi huwa sielewi elewi haka tabia
wakuu ni mimi tu au sote humu janvini
cc:heaven of earth.lady chaga:kiwatengu:deo cleore.na wana mmu wote
..you like good stuff eeeeh!!!
Mbona issue ndogo sana. Mimi underwear, thong namvisha pia...hata pads naingia supermarket kununua...kitu gani bana.
Hahahaaa ana raha sana huyo!
Cyan6 girl, I'm telling you si utani. Hata kumyoa "1600 Pennsylvania Ave." nafanya. There are simple things that I think strengthen the bond between two people. Mimi mchokozi chokozi, mara nimeku-tap your butt, mara nimekubeba juu juu for no reason basi tu. Kitu gani.
I do.............good things comes in small package kama hivo tu
Kama kazi yako ni kusoma comments tu unalipwa sh. ngapi?ngoja waje wakujibu...mimi kazi yangu hapo ni kusoma tuu comments
ndo maana yakee, inapendeza muogeshane, mpakane mafuta mvalishane, yani hadi shetani anaona wivu
Na akikwambia njoo uingize kibamia chako huko kwenye handaki lake utaingiza? Na utakuja kulalamika humu?Hivi ni kudeka ua vp tukiwa wote utasikia naomba unifungie/unibanie blezia/sidilia yangu mbona nikiwa sipo unujibania mwenyewe au mitego ya kiutu uzima mimi huwa sielewi elewi haka tabia wakuu ni mimi tu au sote humu janvini cc:heaven of earth.lady chaga:kiwatengu:deo cleore.na wana mmu wote
humpendi mkeo wewe, mimi wangu hadi pichu namvalisha, alafu namgeuza nampa kakibao ka mapenz kwenye kalio lake halafu namuambia nenda mamaa! ni ishara ya mapenzi, mwanamke anayekupenda anathamini sana ukimfanyia vitu vidogovidogo kama hivyo kuliko hata kumnunulia hayo magari