Wanawake na usumbufu wa kuvaa blezia

Wanawake na usumbufu wa kuvaa blezia

Tony Gwanco

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2013
Posts
5,913
Reaction score
1,217
Hivi ni kudeka ua vp tukiwa wote utasikia naomba unifungie/unibanie blezia/sidilia yangu mbona nikiwa sipo unujibania mwenyewe
au mitego ya kiutu uzima mimi huwa sielewi elewi haka tabia

wakuu ni mimi tu au sote humu janvini

cc:heaven of earth.lady chaga:kiwatengu:deo cleore.na wana mmu wote
 
Hivi ni kudeka ua vp tukiwa wote utasikia naomba unifungie/unibanie blezia/sidilia yangu mbona nikiwa sipo unujibania mwenyewe

au mitego ya kiutu uzima mimi huwa sielewi elewi haka tabia

wakuu ni mimi tu au sote humu janvini

cc:heaven of earth.lady chaga:kiwatengu:deo cleore.na wana mmu wote

humpendi mkeo wewe, mimi wangu hadi pichu namvalisha, alafu namgeuza nampa kakibao ka mapenz kwenye kalio lake halafu namuambia nenda mamaa! ni ishara ya mapenzi, mwanamke anayekupenda anathamini sana ukimfanyia vitu vidogovidogo kama hivyo kuliko hata kumnunulia hayo magari
 
ngoja waje wakujibu...mimi kazi yangu hapo ni kusoma tuu comments
 
Hivi ni kudeka ua vp tukiwa wote utasikia naomba unifungie/unibanie blezia/sidilia yangu mbona nikiwa sipo unujibania mwenyewe

au mitego ya kiutu uzima mimi huwa sielewi elewi haka tabia

wakuu ni mimi tu au sote humu janvini

cc:heaven of earth.lady chaga:kiwatengu:deo cleore.na wana mmu wote

mbona hulalamiki kumvua hio bra??? tena una mvua bila kuambiwa.
 
sa kitu kidogo kama hicho unalalamika?

ni kitu romantic mbona
 
Watu wengine sasa na kunipapasa kichwani na mgongoni hadi nisinzie si utakuja kulia hapa...acha uvivu
 
Hupaswi kusubiri aombe umsaidie kwanza,akiipachika tu kwa nido kama uko nae room una offer kumsaidia kuifunga!!!
Ni vitu vidogo vidogo tu kama hivi ndio vinamfanya mtu aku miss usipokuwepo!!!

Upo sawa kabisa,

na kwani unataka amdekee nani tena!!!
 
Ni haki yake kudeka kwako bro...!!

Ukimbania akitokea jamaa akaugundua udhaifu wake ni kwamba kakosa pa kudekea basi atatafunwa kiulainiii hata kama unampa kila kitu!!
 
Mmmh nini braa watu tunavalishwa had kandambili we hicho tu unalalama aagh bwana wee ndo malavi hayoo ebo !!!
 
Unajua umuhimu wa uwepo wako kweli Mimi nadeka hadi bhasi yeye ndo kila kitu niwajibu wake anifanyie
 
humpendi mkeo wewe, mimi wangu hadi pichu namvalisha, alafu namgeuza nampa kakibao ka mapenz kwenye kalio lake halafu namuambia nenda mamaa! ni ishara ya mapenzi, mwanamke anayekupenda anathamini sana ukimfanyia vitu vidogovidogo kama hivyo kuliko hata kumnunulia hayo magari

hahahahaha sijui nioe kesho? umenitamanisha
 
subiri wenzio wakusaidie hizo huduma kama hujaisoma nr kwa juu
 
Si brazier tu, namvua pichu! Nampigia pasi! Nampa comments khs mavazi yk kbl hajaonwa na wa nje! Nampeleka saluun km atapenda! Namnyoa ma**zi! Mbn yp mengi tu ya kumfanyia mam- sap jamani!
 
Back
Top Bottom