Wanawake na usumbufu wa kuvaa blezia

Wanawake na usumbufu wa kuvaa blezia

Kama sikosei wewe ni mfunguaji mzuri wa io kitu...tena hukosei...ukigusa tu imefyatuka....
Na kufunga uwe mwepesi shekhe!....Tuwapende wake zetu Jamani...mapenzi sio kununua Galax6 tu peke yake......Kunyoa nywele za makao makuu, za kwapa, kumkata kucha.....we subiri apate mtu amfanyie ayo mambo halafu ubaki unadai gharama zako....
 
Sioni tatizo tena kama mimi nitajichelewesha makusudi niangalie mgongo kwa raha zangu
 
ni mapenzi tu.vitu vidogovidogo vinaongeza mapenzi kama kumkata kucha na mengineyo we huoni wanaopaka rangi kucha madada wanavyojichukulia wake za watu?
 
Back
Top Bottom