Wanawake na usumbufu wa kuvaa blezia

Wanawake na usumbufu wa kuvaa blezia

Wenzio tunanyonywa hadi papuchi we unalalamika brazia. Kweli mkeo ana tabi.
Si brazier tu, namvua pichu! Nampigia pasi! Nampa comments khs mavazi yk kbl hajaonwa na wa nje! Nampeleka saluun km atapenda! Namnyoa ma**zi! Mbn yp mengi tu ya kumfanyia mam- sap jamani!
 
Hivi ni kudeka ua vp tukiwa wote utasikia naomba unifungie/unibanie blezia/sidilia yangu mbona nikiwa sipo unujibania mwenyewe

au mitego ya kiutu uzima mimi huwa sielewi elewi haka tabia

wakuu ni mimi tu au sote humu janvini

cc:heaven of earth.lady chaga:kiwatengu:deo cleore.na wana mmu wote
Siyo kudeka ndo mapenzi hayo unataka akamwambie jirani yako ili wewe usipate usumbufu? mbona hata wewe asipokuwepo kunyosha nguo unanyosha mwenyewe,kubrush ila akiwepo utamwambia yeye akunnyoshee so hivyo vitu ndo huwa vinafanya akukumbuke na wewe umkumbuke anapokuwa mbali
 
Hiv mie nimewahi mfanyi nn vileeeeeeeee!! ahaaaa kumfunga kamba ya bikini.
 
Hupaswi kusubiri aombe umsaidie kwanza,akiipachika tu kwa nido kama uko nae room una offer kumsaidia kuifunga!!!
Ni vitu vidogo vidogo tu kama hivi ndio vinamfanya mtu aku miss usipokuwepo!!!

ningekuwa karibu ningekukisssss
 
seriously!! hapo huelewi nini sasa....wanaume wengine so un-romantic! wenzio wanawapenga kamasi wenzi wao wewe unalalamika kufunga bra! kalagha bao. siku utashangaa mkeo kachukuliwa na dereva wa bodaboda anayejua kumvalisha na kumvua sidiria hapo ndo utakapo tia akili
 
Hv ww utaweza kweli hata kunyonya m**ndu wa mkeo?
 
Hupaswi kusubiri aombe umsaidie kwanza,akiipachika tu kwa nido kama uko nae room una offer kumsaidia kuifunga!!!
Ni vitu vidogo vidogo tu kama hivi ndio vinamfanya mtu aku miss usipokuwepo!!!

kwanza hio ni sehemu ya kuongeza romanticness ya mapenzi..

kuna wengine wanajikuta wakidondoka kwa mara ya nne after morning glory..!
 
Mbona mimi huwa namwambia mke wangu nifunge vishikizo vya mikono ya shati langu!!! Ina maana nami nadeka? Real this is totolish thread!
 
Halafu ukiibiwa utakuja kulalamika.... women appreciate little things that you do. Me chochote namsaidia mpenzi wangu
 
sasa uibiwe ndo uanze kulia ? mapenzi yakikolea unataka yapoe au vipi?
 
Back
Top Bottom