Wanawake na style mpya ya kujifungua

Wanawake na style mpya ya kujifungua

Ha ha ha, niko poa tu
Loh afadhali...:smile-big:

Huyu ananiudhi, ujue enzi zetu akina mama wengi sana walikuwa wakati wa kujifungua, kuna Mwalimu wangu nikiwa darasa la 5 alifariki, niliumia mno. Kipindi hicho hakuna facilities za kufanya operation.

Mmmh! inasikitisha...wamama wengi wajawazito huwa wanafariki kwa kukosa huduma stahiki na wakati muafaka...kuna wakati serikali ilianzisha kampeni maalumu ya kutokomeza vifo vya mama wajawazito
 
ulivyo mwepesi kukariri mzitoo kusahau am sure utarudia tena naukirudia tena ntakuitia mdm utimue mbio tena

Hahahah unajua ni muda mrefu sana sijakuchokoza...sasa ulivyoandika pale juu nikaona hii ndiyo moment...eti ntimue mbio tena lol!!!
 
Hahahaaaa...nimeipenda sana. Binafsi napenda wanawake natural...sio ktk kuzaa tu,ila generally,kuanzia mavazi,jinsi anavosuka,sipendi mawigi na mamake up kibao...sipendi bac tu!
unachanganya madawa mkuu hapa hatuzungumzii mawigi etc kila mtu ana uchaguzi wake
so let bygones be byggones
 
kinachosababisha ni nini?
Uwezo wa pesa unaweza kukupa nafasi ya kuamua aina ya maisha unayotaka kuishi. Victoria Beckham amejifungua watoto wake wote kwa operation, hakuwa na matatizo ya kiafya bali ilikuwa uwamuzi wake. Wanawake wa mjini wasio na uwezo wa kulipia private ceasarian sessions pia wanajifunga kwa njia za kawaida.
 
naikumbuka ile muvi ya kanumba ya devil kingdom na preach ya Ramsey kuhusu goddness lilith i.e angel of equality and contraceptions ...wanawake wanaogopa kupanuka k lakin jigjig hawaachi,hii nayo kali.
 
let mi tel u nachoelewa na ninachoona kila siku!
Ulichokiandika hapa ni kweli though cna uhakika na hizo asilimia, bt idadi ya wanajifungua kwa operation inazidi kuongezeka siku hadi siku!
....ss basi kuna makundi haya
1..kuna wenye matatizo ya kiafya(arvs,na magonjwa mengine)
A)hapa kuna ambao mtt anakuwa mkubwa to the extent mama hawez kupush,kutokana na mfano,umbile la mama n.k... so ili kuokoa maisha ya mama na mtt lzm operation

2..kuna ambao wanafanya mapenzi kinyume na maumbile, hawa hawawezi kujifungua kawaida.

3..kuna ambao wanataka wenyewe(tena mi nawafaham wengi tu) eti hawataki kuumwa uchungu,mtt akishakomaa tu dr anamtoa,na wanakuwa na ma dr wao.....mi naona ilimbukeni tu

4..kuna hawa ambao hushauriwa na dr unakuta mtu hana tatizo ila dr kasema,kumbe hajui dr yupo kipesa zaidi(na hii mara nyingi ipo private hosp,sio government)

5..na kuna wale wanaofungwa na nguvu za giza (hapa ni mambo ya imani kidogo ni somo refu linalojitegemea)
...ila inshort ndo hivyo
 
Mimi siielewi Hospital ya Lugalo. Ukiachilia hili swala la kujifungua kwa operationi. Hawa wamama wanaojifungua kwa njia za kawaida. Asilimia 80 wanaojifungua Lugalo lazima waongezwe njia, kuchanwa na nyembe.
Sasa hili ni system ya jeshi au kitabibu.

hahahaaaaa....!!!. mia
 
naikumbuka ile muvi ya kanumba ya devil kingdom na preach ya Ramsey kuhusu goddness lilith i.e angel of equality and contraceptions ...wanawake wanaogopa kupanuka k lakin jigjig hawaachi,hii nayo kali.

Kujifungua hakuna uhusiano wowote na kupanuka,co baada ya muda unarudi kuwa kawaida
 
Salaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaam,

Kati ya wajawazito 20 wanaofika mahospitalini kwaajili ya kujifungua 16 wanajifungua kwa operation na hii hutokea sana ktk private hospital.

Juzi juzi hapa nilisafiri kwenda kijiji cha mkoa flani hivi. I was there for two wks. Nilishuhudia wajawazito zaidi ya saba wakijifungua kwa njia ya kawaida. Ilinibidi nifanye kautafiti juu ya swala hili la ongezeko mara dufu ya watu wanaojifungua kwa operation . Nilichogundua ni kwamba Vijijini watu kwa asilimia 99.99 hujifungua kwa njia za kawaida na mijini asilimia78.32 ya wanawake hujifungua kwa njia ya operation.

Je hii inaashiria kuwa wanawake wa mijini ni dhaifu kiasi kwamba wanashindwa kujifungua kwa njia za kawaida, ama kuna sababu nyingine?
Na je hii haiwezi ikawa ni ujanja wa mahosipitali kujipatia pesa zaidi? kwasababu operation inagarama zake ati!

Kwa kweli utafiti wako ni wa kweli kabisa... Kwa sababu mimi pia ni muhanga wa hizo operation... Hili ni dili tu la private hospitals... Tulikuwa watatu tuloenda kujifungua ila mmoja tu ndo alijifungua kawaida tena na ye alinusurika kidogo tu manake dk alishamuandikia afanyiwe operation...mi ht huo uchungu siujui manake kufika tu dk akarecomend operation eti mtoto mkubwa!
 
Ni bora nipate maumivu ya kupush kwa mda kuliko kuuguza mshono mana huko ni kujitia ubovu usio lazma unless niwe na tatizo ambalo suluhu ni operation..... kuna sindano wapigwa mgongoni kuondoa machungu during child delivery ila sijakubaliana nayo kwa kweli mana wakichoma vibaya waweza pata maumivu ya mgongobya kudumu although ni rarely
 
let mi tel u nachoelewa na ninachoona kila siku!
Ulichokiandika hapa ni kweli though cna uhakika na hizo asilimia, bt idadi ya wanajifungua kwa operation inazidi kuongezeka siku hadi siku!
....ss basi kuna makundi haya
1..kuna wenye matatizo ya kiafya(arvs,na magonjwa mengine)
A)hapa kuna ambao mtt anakuwa mkubwa to the extent mama hawez kupush,kutokana na mfano,umbile la mama n.k... so ili kuokoa maisha ya mama na mtt lzm operation

2..kuna ambao wanafanya mapenzi kinyume na maumbile, hawa hawawezi kujifungua kawaida.

3..kuna ambao wanataka wenyewe(tena mi nawafaham wengi tu) eti hawataki kuumwa uchungu,mtt akishakomaa tu dr anamtoa,na wanakuwa na ma dr wao.....mi naona ilimbukeni tu

4..kuna hawa ambao hushauriwa na dr unakuta mtu hana tatizo ila dr kasema,kumbe hajui dr yupo kipesa zaidi(na hii mara nyingi ipo private hosp,sio government)

5..na kuna wale wanaofungwa na nguvu za giza (hapa ni mambo ya imani kidogo ni somo refu linalojitegemea)
...ila inshort ndo hivyo

So unamaanisha Victoria Beckham ni limbukeni? Maana aliamua mwenyewe kwamba watoto wake wote watazaliwa kwa surgery, na ana 4 kids, wapi Eva longoria na wengineo wengi..

Most of Best health Centre around the world wana advice surgery ili kumlinda mtoto asipate matatizo kama ya kubanwa kichwa,, hiyo ni modern way..

So maisha kila mtu anachagua ya kuishi, wewe ukiamua kwa ku push sawa na ukiamua kwa surgery sawa, ila usimponde mwenzako kuwa limbukeni, maana dunian kila mtu kaja peke yake na ataondoka peke yake, hakuna mwenye haki ya ku mjudge mwenzake
 
Wa vijijini wanafanya kazi sana ambayo ni mazoezi tosha,wa mjini akishakua na mimba anajichukulia kama ni mgonjwa ata chooni atataka aende na gari,mazoezi yanasaidia sana kufanya uzae kawaida
 
wanawake wa mjini ni wapuuzi wanapenda kujifungua kwa wembe kisa papuchi isiwe kubwaaaa, wanawahonga ma dr ili wawapasue..............................................
 
Jamani c wote wanapenda operation.....kuna watu wanamatatizo ya afya...rhesus factors...sickle cell...nyonga ndogo as mtt mkubwa...problems kwenye placenta nk...I hv my 2 sistas...hawakutegemea operation but due to some weaknes n problems ikabidi wafanyiwe operation gov hospital...usiusemee moyo wa mwenzio ngoja yakufike au yamfike mkeo ndo utajua utamu wa ngoma...to lose the baby or mother
 
Back
Top Bottom