Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
Watasema mchana weeee! Usiku watalala! Watachonga sana juu yetu.... Achana nao. Lakini mchumba msamehe bure WANAWAKE ndivyo mlivyo. Mnaoneana wivu sana. Hahahaha! lol!
Unataka kuniambia huyu PJ ni SHE?mbona maneno yake kama HE?kumbe kama ni SHE nimemsamehe bure.Niandelee kulinda mali yangu naona kama wezi wanachungulia kwa mbaali.