Wanawake na sex toys...

Wanawake na sex toys...

Yes dear!Nimewahi kusikia watu wanasema kuwa eti mwanamke akikosa mume/mwanamume kwa umri fulani anakuwa na asilimia kubwa ya kuwa kama aliyechanganyikiwa,sijui ni kweli?
hata hivyo mimi sielewi lakini nini hasa kinasababisha wanawake watumie ma-toy kwa kiwango hicho?.

wanawake wengi wanatumia hayo matoi kwakuwa hawaridhishwi na wanaume kwenye tendo kwahiyo wanaona hiyo ndio mbadala wake.tena hao ni wachache kati ya wengi ambao hawaridhishwi,wengi hawaridhishwi na hawajui kama hawaridhishwi kwakuwa hawajui wanatakiwa kufikia hatua gani kwenye tendo lenyewe.
 
Yes dear!Nimewahi kusikia watu wanasema kuwa eti mwanamke akikosa mume/mwanamume kwa umri fulani anakuwa na asilimia kubwa ya kuwa kama aliyechanganyikiwa,sijui ni kweli?
hata hivyo mimi sielewi lakini nini hasa kinasababisha wanawake watumie ma-toy kwa kiwango hicho?.

Mi nashangaa wanaume wanaotumia matoy, lakini kwa wanawake sishangai. Asipotongozwa afanyeje wakati ana kiu?
 
PakaJimmy bado umetuacha na maswali mazito kwenye vichwa vyetu jinsi ulivyo chambua hapo mmmh!
 
Last edited by a moderator:
Asprin,

Kwani wanawake hawaruhusiwi kutongoza? Si unamwendea tu mtu na kumweleza ukweli. Na isitoshe wanawake siku hizi wanatongoza, tena sana tu, hasa viserengeti boys.
 
Last edited by a moderator:
ziondaughter sema kweli toka moyoni, we unaweza kutongoza mwanaume?
 
Last edited by a moderator:
Kwani wanawake hawaruhusiwi kutongoza?Si unamwendea tu mtu na kumweleza ukweli.na isitoshe wanawake siku hizi wanatongoza,tena sana tu,hasa viserengeti boys.

JAMANI !!!! ila ni ngumu sana huyo mtu unayemtongoza akikukataa unajisikiaje ?
 
Kwani wanawake hawaruhusiwi kutongoza?Si unamwendea tu mtu na kumweleza ukweli.na isitoshe wanawake siku hizi wanatongoza,tena sana tu,hasa viserengeti boys.

Mi naililia sana bahati hii ya kutongozwa na msichana nadondokea kutongozwa na wake za watu.
 
PakaJimmy bado umetuacha na maswali mazito kwenye vichwa vyetu jinsi ulivyo chambua hapo mmmh!


Msijifanye mnatoka kwenye sayari ya Mars Fidel180!

Wewe si unalipa 70,000 kwa mdada, sijui mkaka, kwaajili ya kutengeneza nywele au sijui fesho-skrub!

Unashangaa huo uchambuzi...tena huenda demu zenu wote na akina Chrispin , Masa na Geoff WANATUMIA hizo makitu vibaya mno...nyie mnasema .."ni mwaminifu"...

Kwani Si mnapendaga wenye Makalio ya Mchina, sa tofauti na sex-toys nini?
 
Msijifanye mnatoka kwenye sayari ya Mars Fidel180!

Wewe si unalipa 70,000 kwa mdada, sijui mkaka, kwaajili ya kutengeneza nywele au sijui fesho-skrub!

Unashangaa huo uchambuzi...tena huenda demu zenu wote na akina Chrispin , Masa na Geoff WANATUMIA hizo makitu vibaya mno...nyie mnasema .."ni mwaminifu"...

Kwani Si mnapendaga wenye Makalio ya Mchina, sa tofauti na sex-toys nini?

Mkuu ntaomba ufafanuzi kwenye hiyo black. Kwenye hiyo red ntahitaji kuombwa radhi mimi na mchumba wangu ZD. ASAP!
 
Msijifanye mnatoka kwenye sayari ya Mars Fidel180!

Wewe si unalipa 70,000 kwa mdada, sijui mkaka, kwaajili ya kutengeneza nywele au sijui fesho-skrub!

Unashangaa huo uchambuzi...tena huenda demu zenu wote na akina Chrispin , Masa na Geoff WANATUMIA hizo makitu vibaya mno...nyie mnasema .."ni mwaminifu"...

Kwani Si mnapendaga wenye Makalio ya Mchina, sa tofauti na sex-toys nini?
tuombe msamaha mapema!

au thibitisha mapema zaidi!
 
Msijifanye mnatoka kwenye sayari ya Mars Fidel180!

Wewe si unalipa 70,000 kwa mdada, sijui mkaka, kwaajili ya kutengeneza nywele au sijui fesho-skrub!

Unashangaa huo uchambuzi...tena huenda demu zenu wote na akina Chrispin , Masa na Geoff WANATUMIA hizo makitu vibaya mno...nyie mnasema .."ni mwaminifu"...

Kwani Si mnapendaga wenye Makalio ya Mchina, sa tofauti na sex-toys nini?

Huyo nilitongoza hakunitongeza yeye elewa point mkuu mm nataka nitongozwe sio nitongoze nimebahatika kupata mmoja tu nae mke wa mtu nikaogopa.
 
Mkuu ntaomba ufafanuzi kwenye hiyo black. Kwenye hiyo red ntahitaji kuombwa radhi mimi na mchumba wangu ZD. ASAP!

Kwenye black inajieleza yenyewe...yaani kwa ufupi ndo hivyo...lol!

Kwenye red, KUNRADHI SAAAANA Mkuu CHRISS!

Sa huyo ZD umempataje tena, wakati juzi walikuwa hapa A-Town na mwana-jei-efu anayekwenda kwa jina la
Kanda-MbiliMbili?

Unazugwa babaake...embu mkalie kooni, au search simu yake ya Mchina!
 
Lakini PakaJimmy unajua wazi mm ni dume la mbegu kwa nini unasema napeleka 70,000/= kwa mkaka/mdada? alafu wkt huo huo wewe mwenyewe unaficha jinsia yako au ndo semenya kunradhi kama nitakuwa nimekukwaza.
 
Back
Top Bottom