Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,189
- 8,217
- Thread starter
- #21
Utakuwa jasiri zaidi ukibaki natural
Yaani niende saluni nawaza kumvuta mtu?
Chaaa hapana labda hao wa kwako
Mie napenda niwe smart inanipa ujasiri hata kwenye mihangaiko yangu