clemsha789
Senior Member
- Jul 1, 2023
- 198
- 336
Wengi hawana elimu ya mkopo, mtu anakopa ndo anaanza kutafakari wazo la biashara, malengo hana matokeo yake ni kuzidi kuangamia kwenye umasikini na sio tu wanawake kuna wanaume pia haya majanga yamewakuta
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app


