LILENDI
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 1,400
- 496
Kwani Unioni hapo
mmmh, labda macho yangu vidonda. naona giza giza tu. anyway, sijala mboga za majani kama siku 4 hivi. nilikuwa nakula nyama na maharage tu
Kwani Unioni hapo
kuna mama alioshewa maji ya moto salon kumbe mwoshaji nyumba ndogo ya mumewe...muwe mnafanya research...
Hahahhaaaaaa kweli asee!!!!Mkuu,
Wakati mwingine unakuja huku kutuliza nafsi kule kwetu pasua kichwa.
Mbonaa cjawahii ona wazunguu amaa mamiss duniaa wakiwekaa ayoo mauchafuu kaah yani wanavyoo niboaga basi tuu kwelii tz inajanga laa elimuu diii?
Ni kweli siyo mbaya ukaruhusu mambo mengine yakupite.Pole yake...........mambo mengine yakikupita si mbaya
Ooh my God!! hii nimeipenda. yaani nimecheka hadi sijitambuiKuna mama alioshewa maji ya moto salon kumbe mwoshaji nyumba ndogo ya mumewe...muwe mnafanya research...
Ni kweli siyo mbaya ukaruhusu mambo mengine yakupite.
Heaven on Earth…umewahi kufanya BL waxing?
No sijawahi nimewahi kuisikia tu inkuwaje hiyo
Mkuu uzuri unazaliwanao,ila urembo na usafi wa mwili unajipa mwenyeweMNAHANGAIKA NA NIIIIINI?
hapo bado mkorogo anaopaka haujaanza kubabuka!
hakyanani kuna vitu wacha tu vinifanye nionekane sikwendi na mafasheni!
hizi mambo za kope kope hizi sijui nywee za kubandika sijui wanaita nini sijui za kuvaa kikofia chini na gunDi juu af unapanga nywele !ehehehehhehhe HUWA NAWAANGALIIIAAAAAA NABAKI kucheka tu!KWANZA MNATUMIA HELA NYINGI!
PILI NI HATARI KWA AFYA ZENU
TATU HAZIWAPENDEZI MNAKUWA KAMA VIPAKA VYA KWENYE KATUNI
NNE HAMKUWI NYIE
aaargh bana eeh pengine ndo mnasifiwa na hao washika dau!
wazungu ndio waaanzilishi, tatizio sio urembo, tatizo ni ubora wa madawa yetu tunayotumia, elimu ya hao wadada wa saluni, na unayeenda kuweka urembo kujua kama una allergy yoyote. Hivyo vitatu vikizingatiwa hakuna tatizo kabisaaaa....Mbonaa cjawahii ona wazunguu amaa mamiss duniaa wakiwekaa ayoo mauchafuu kaah yani wanavyoo niboaga basi tuu kwelii tz inajanga laa elimuu diii?
Haya wadada wa MMU,...mambo ndiyo kama hayo mnavyoyaona...amini nawaambieni urembo umuweka mwanamke juu.
Ahsante! Umeongea kitu cha muhimu sana...thatz why hata mimi nawasisitiza dada zangu wa MMU au mtu yeyote yule anaependa mambo ya urembo kuwa aendapo kufata huduma yoyote salon ajitahidi awe mtu wa kuhoji kabla hajafanyiwa huduma...uwapo salon usiruhusu mwili wako uwe wa majaribio kama vile wewe ni mdoli.wazungu ndio waaanzilishi, tatizio sio urembo, tatizo ni ubora wa madawa yetu tunayotumia, elimu ya hao wadada wa saluni, na unayeenda kuweka urembo kujua kama una allergy yoyote. Hivyo vitatu vikizingatiwa hakuna tatizo kabisaaaa....
View attachment 125526View attachment 125527