Wanawake na dhana ya "we can just be friends

Wanawake na dhana ya "we can just be friends

Umetisha jombaaaa!ila kuna kosa umefanya.out Mara nne hujala mzigo?wengi hawasemagi,unapiga mitama tu
 
Na mtumie "uanaume".... We mwanamke ana kujibu ana mtu unapanic, sa unapanic nini ana mtu kwani we mdudu? Hadi tuwape mbinu za kututongoza? Mfyuuu kama hamuwezi mtulie tuwatongoze sasa sio kuleteana mambo ya kiboya boya

Haa haa..najaribu kuimagine jins ulivyo..sipat pcha!!
 
Hiv jaman had leo kuna wanaume mnataka majibu ya direct,? Seriously inaboaa hamjui tu
 
Miss chagga,limoyo langu limekudondokea!njoo pm tafadhari
halafu utasikia shetani kanipitia .. ha haha mnaambiwa ikimbie zinaaa watu wanakimbilia zinaaaa..... shetani kakushika miguu au wakati anakupitia kwa nini ukumbananisha na yeye akaliwa
 
Sikiliza hawa wadada wote huku duniani wana watu wao ________ Wewe kukubaliwa ujue kuna boya kazingua au kazinguliwa wewe ukachukuwa fasi _____:bathbaby:_____ Sasa wewe kuwa rafiki hutaki ?? Wewe umekosea rudi mpe shart lingine kwenye ufariki wewe kujuana kuwepo pia wewe kanyaga tu _________ Mtoe mapepo polepole utajikuta mmiliki wa halali
 
Mbona hiyo kitu ya kawaida ulitaka akukubalie ghafla tu mie napenda sana madada wa namna hiyo lakini within a short time Ninamcapture kiulani tena yeye ndo anakua msumbufu ile mbaya, kuna wadada wengine wanaogopa kukubali haraka haraka ili asionekane mtu wakupenda sana wewe ungalimpa home work ingine najua huyo alikua wako.
 
Mkuu hadithi yako inaturudisha enzi za zamani Yani mpaka leo kuna kutoana out mara 4 then ukifika hugegedi ivi wanaume tupoje saivi mimi kabla demu hajalamba mia yangu nakuwa tayari nimeshampangia trick za kumla siku ambayo nagegeda ndio ntanunua walau viywaji au Nimpe pesa ya nauli harafu mimi nkianza wasiliana na KE ctaki ata wiki iishe sijamlamba akizjngua nafuta namba tu mambo ya kuzungushana ni ubata ..mademu wote hao mtaani iweje umtoe mtu out ivo then akuambie kauli izo?? Kakudharau tu mana hauko bold as Gentleman kwa uzoefu ladies wako na interest na Mtu mkorofi ww endelea kulia lia usikilizie papuchi kwenye bomba
 
Shemeji,
Enzi zileee wakati bhado naranda randa nlikuwa sio mtu wa kukatishwa tamaa na kauli kama hii eti nna mtu wangu,
teh teh unamtu wako tutabanana na huyo mtu wako, akuache nkuchukue jumlaa...

Kuna mtu anaeza kukwambia yupo inrelation, but stil bhado anatafuta mtu wa maana zaidi na aliyenae,

Kama unanikataa nikatae kwa sababu nyingine,

Mwanamke hawezi kuwa sirias kukwambia nakupenda pia mimi ila nina mtu wangu, hivi kama unamtu kwanini umpende mtu mwingine? Hapo huwa naforce king tuu.....lazima mwenye mali yake aage...

Huyu jamaa mtongozaji bado ni old school katika kutongoza!!! Paka sasa hivi bado tunatumia style ya kusubiri majibu? Yes au no...

Huyo dada mpe muda tuu, mpe ma care ya kutosha, mfanyie yaliyo mazuri zaidi...mteke kisaikolojia

Kisha mpe mda ajipime mwenyewe kwa huyo aliye naye na wewe nan zaidi?

Acha kuchezea fulsa, kijanaaa...siku hizi kupata single ladies ni ngum, lazima uvunje bond ya mtu
Noma tsana,,,hahah
 
Sipendagi huo Ungese wa lets just be friends. Mie ukinikataa baada ya tongozo that means WAR.I dont relate to a woman unless i *** her or ni ndugu yangu. Sijakufuata tuwe marafiki,my hommies wananitosha!
 
Hivi karibuni nimepata msichana Mpya baada ya yule Wa kwanza kunisumbua kwa kupenda pesa kuliko maelezo na ukatokea ugomvi mwisho tukashindwana

Sasa nikapata msichana Mpya, tumetoka outing Mara mbili tatu nne hivi katika wiki chache zilizopita, katika outing hizo nikamuomba awe wangu, kwamba Nina nia njema nae, akasema nisubiri, niwe mvumilivu atanijibu, katika kuongeza ushawishi nikaanza kumuita hny, baby na kadhalika maana dalili zote zilionesha kwamba kuna jibu la ndio linakuja, maana tukiwa beach tulishikana mikono na kukaa kama wapenzi except kissing ndio hatukufanya

Ikafika pahala nikalazimika kuwa serious kidogo kuhusu majibu yangu, nikasema nahitaji kujua nimekubaliwa au la hatuwezi kuendelea namna hii, akajibu kuwa ana mtu wake ila kama vipi we can just be friends, nikamwambia sawa ila na Mimi Nina sharti moja katika hiyo being normal friends, nikamwambia katika hiyo friendship hakuna kuombana pesa, ikifika wakati una shida utamuomba mtu wako

Nikamuona kawa mdogo akasema ina maana wewe huwezi kusaidia mtu? Nikamwambia kusaidiana inakua upande mmoja tu? Kwangu kwenda kwako?
Kwa kuwa ww una mtu wako na mm itabidi nitafute Wa kwangu ndie huyo nitakua namsaidia kama sijampata nitawapa hata wadogo zangu Wa kike wao pia wanahitaji pesa, tangu siku hiyo akakata mawasiliano hadi alipoibuka tena Jana na proposal Mpya kwamba kama vipi tunaweza kuendelea na uhusiano ila kichwani nijue ana mtu wake
Ilibidi nimuulize kama ana akili timamu au la?
Yaani mm niwe spare tyre?

Nimegundua hakuna kitu kama "" we can just be friends"" kauli hiyo inatumiwa na akina Dada kama pango la wanyanganyi la kupigia mizinga na ndugu zangu msikubali mtego huo, kama ana mtu wake atembee mbele, nilikwambia mm nahitaji marafiki wapya? Nilio nao wote hao hawatoshi? Urafiki Wa kawaida halaf kila siku unakuja na shida!!!

Sasa nimeshtukia huo mtego ndio unakuja kudai tunaweza kuwa wapenzi kwa siri ila mtu wako asijue, Mimi? Yaani mm mwanaume mzima makamo Haya niwe mpenzi wako Wa pembeni?

Nonsense

Hahahahaaaaaaa u made ma dy....
 
Back
Top Bottom