spade4spade
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 2,207
- 2,158
''..... We can't be friends, if we can't be lovers.... we can't be friends, coz am still in love with you........................''
By Mary J. bli.... feat. ...... BAK please do the needful of this songi la long time, hii thread imenikumbusha wakati naachana na boyfriend wangu wa kwanza, nilimpenda sana ila nilikuwa sitaki kuliwa mzigo jamaa anataka kula kitumbua. Enzi hizo niko sekondari tukagombana mwisho tukaona tuachane kuwa we are no longer lovers na akaniambia atakuwa ananiona kama dada yangu, mie nikasema sawa. Baadae akasema we cant be friends if we cant be lovers looh, alinipatia akanila kitumbua hivihivi.
Kwa umri huu ulivoenda saa hizi can be just friends na mwanaume without strings attached, maana ya kuwa najigharamia mwenyewe kila kitu issue inakuwa ni issue ya just friends for maongezi, company, story za hapa na pale, kushauriana na kupeana mawazo chanya.
Mtoa mada huyo ulikutana na mschana na wewe kama umejiona mtu mzima hivyo na umri huo huwezi kuwa spare tyre basi tulia na njia kuu yako.
Kasie.
Missing you!
Last edited by a moderator: