Nje ya Mada
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,399
- 491
ha ha ha haha ha just a friend.. its not exist between man and woman.. never
Can we be friends😉
ha ha ha haha ha just a friend.. its not exist between man and woman.. never
We na wewe ndo mkosaji hapo.
Uwe unajaribu kumcategorize msichana kwanza kabla ya kuchagua proposal stratergy.
Kama huwezi kumchambua tumia bottom up badala ya top down.
Top down ni kumuoverate hadi tabia zikuoneshe ye ni cheap kiasi gani.
Bottom up (best stratergy). Unaasume ni cheap hadi atakapoprove otherwise ( inafanya kazi sana kwa sababu unaweza ijaribu kwa unayeona yuko juu ukashangaa how cheap she is).
Huyo msichana alivyokuambia we can just be friends ni kwamba bado hana info ya kutosha kusababisha wewe umreplace aliye naye. If u did your job well ungepata vingi up to even replacement. Ila wewe unakomaa na formal application.
Siku izi formal haifanyi kazi coz hana enough info ya kutosha kufanya decision ya kukukubali sasa. Ndo maana u have to pass through the adversity of friendship, through with benefits to the relationship.
Labda anataka kuwa friends with benifits
no kiss in public
no hugs in public
no jealous in public
no questions in public
sex only....!!
Na mtumie "uanaume".... We mwanamke ana kujibu ana mtu unapanic, sa unapanic nini ana mtu kwani we mdudu? Hadi tuwape mbinu za kututongoza? Mfyuuu kama hamuwezi mtulie tuwatongoze sasa sio kuleteana mambo ya kiboya boya
Na mtumie "uanaume".... We mwanamke ana kujibu ana mtu unapanic, sa unapanic nini ana mtu kwani we mdudu? Hadi tuwape mbinu za kututongoza? Mfyuuu kama hamuwezi mtulie tuwatongoze sasa sio kuleteana mambo ya kiboya boya
Na mtumie "uanaume".... We mwanamke ana kujibu ana mtu unapanic, sa unapanic nini ana mtu kwani we mdudu? Hadi tuwape mbinu za kututongoza? Mfyuuu kama hamuwezi mtulie tuwatongoze sasa sio kuleteana mambo ya kiboya boya
Wanaume yani kama hamjui hii kitu inaboa sana na kuwapunguzia credit "kuomba jibu kama umekubaliwa" inaboa sana mtu anaekupenda, anaekukubali, ambae yupo tayari kuwa nawe, yupo tayari kukupa tu hata kama ana mtu...utamjua tu kwenye maongezi acheni kuwa mnaomba majibu hilo tongozo la kizee bana
We na wewe ndo mkosaji hapo.
Uwe unajaribu kumcategorize msichana kwanza kabla ya kuchagua proposal stratergy.
Kama huwezi kumchambua tumia bottom up badala ya top down.
Top down ni kumuoverate hadi tabia zikuoneshe ye ni cheap kiasi gani.
Bottom up (best stratergy). Unaasume ni cheap hadi atakapoprove otherwise ( inafanya kazi sana kwa sababu unaweza ijaribu kwa unayeona yuko juu ukashangaa how cheap she is).
Huyo msichana alivyokuambia we can just be friends ni kwamba bado hana info ya kutosha kusababisha wewe umreplace aliye naye. If u did your job well ungepata vingi up to even replacement. Ila wewe unakomaa na formal application.
Siku izi formal haifanyi kazi coz hana enough info ya kutosha kufanya decision ya kukukubali sasa. Ndo maana u have to pass through the adversity of friendship, through with benefits to the relationship.
Hivi karibuni nimepata msichana Mpya baada ya yule Wa kwanza kunisumbua kwa kupenda pesa kuliko maelezo na ukatokea ugomvi mwisho tukashindwana
Sasa nikapata msichana Mpya, tumetoka outing Mara mbili tatu nne hivi katika wiki chache zilizopita, katika outing hizo nikamuomba awe wangu, kwamba Nina nia njema nae, akasema nisubiri, niwe mvumilivu atanijibu, katika kuongeza ushawishi nikaanza kumuita hny, baby na kadhalika maana dalili zote zilionesha kwamba kuna jibu la ndio linakuja, maana tukiwa beach tulishikana mikono na kukaa kama wapenzi except kissing ndio hatukufanya
Ikafika pahala nikalazimika kuwa serious kidogo kuhusu majibu yangu, nikasema nahitaji kujua nimekubaliwa au la hatuwezi kuendelea namna hii, akajibu kuwa ana mtu wake ila kama vipi we can just be friends, nikamwambia sawa ila na Mimi Nina sharti moja katika hiyo being normal friends, nikamwambia katika hiyo friendship hakuna kuombana pesa, ikifika wakati una shida utamuomba mtu wako
Nikamuona kawa mdogo akasema ina maana wewe huwezi kusaidia mtu? Nikamwambia kusaidiana inakua upande mmoja tu? Kwangu kwenda kwako?
Kwa kuwa ww una mtu wako na mm itabidi nitafute Wa kwangu ndie huyo nitakua namsaidia kama sijampata nitawapa hata wadogo zangu Wa kike wao pia wanahitaji pesa, tangu siku hiyo akakata mawasiliano hadi alipoibuka tena Jana na proposal Mpya kwamba kama vipi tunaweza kuendelea na uhusiano ila kichwani nijue ana mtu wake
Ilibidi nimuulize kama ana akili timamu au la?
Yaani mm niwe spare tyre?
Nimegundua hakuna kitu kama "" we can just be friends"" kauli hiyo inatumiwa na akina Dada kama pango la wanyanganyi la kupigia mizinga na ndugu zangu msikubali mtego huo, kama ana mtu wake atembee mbele, nilikwambia mm nahitaji marafiki wapya? Nilio nao wote hao hawatoshi? Urafiki Wa kawaida halaf kila siku unakuja na shida!!!
Sasa nimeshtukia huo mtego ndio unakuja kudai tunaweza kuwa wapenzi kwa siri ila mtu wako asijue, Mimi? Yaani mm mwanaume mzima makamo Haya niwe mpenzi wako Wa pembeni?
Nonsense
Sema kwakuwa tayari ana mtu wake ila hiyo kauli walaaaa isikuogopeshe, akikuambia hivyo ujue anataka mtake things slowly maana inaonekana ulikuwa na haraka sana.
She needed time mfahamiane vizuri ili msije kurupuka kuanzisha mahusiano alafu after 2weeks muanze migogoro isiyo na msingi, so just relax you can just be friends for now.
Maybe aliyenae mambo hayako poa thats why anataka kukupa nafasi, jitose tu mbona wenzako akina sumbai kwao poa tu.