Wanawake na dhana ya "we can just be friends

Wanawake na dhana ya "we can just be friends

We na wewe ndo mkosaji hapo.
Uwe unajaribu kumcategorize msichana kwanza kabla ya kuchagua proposal stratergy.
Kama huwezi kumchambua tumia bottom up badala ya top down.
Top down ni kumuoverate hadi tabia zikuoneshe ye ni cheap kiasi gani.
Bottom up (best stratergy). Unaasume ni cheap hadi atakapoprove otherwise ( inafanya kazi sana kwa sababu unaweza ijaribu kwa unayeona yuko juu ukashangaa how cheap she is).
Huyo msichana alivyokuambia we can just be friends ni kwamba bado hana info ya kutosha kusababisha wewe umreplace aliye naye. If u did your job well ungepata vingi up to even replacement. Ila wewe unakomaa na formal application.

Siku izi formal haifanyi kazi coz hana enough info ya kutosha kufanya decision ya kukukubali sasa. Ndo maana u have to pass through the adversity of friendship, through with benefits to
the relationship.
Nimepata kitu hapa ...asante sana mkuu
 
Back
Top Bottom