Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,422
- 5,596
We can be friends inawezekana sana tu.....
Ila sema hiyo dhana haipo kwa huyo msichana ulokuwa nae.....
Na inaonyesha shida yake ni pesa zako inawezekana ulitumia wakati wa tongozo ndio maana na yeye hataki kuzikosa.....
Akina kaka mnapotongoza usijiweke kinadikini lakininusitumie oesa kama silaha....utawekwa friend zone au ufanywe zombie
Mpendwa, let me be your friend.
Si ndio. Nilikuwa nakumbushia tu. Just to be sure.Nilidhani sisi ni marafiki mpendwa...
Hivi karibuni nimepata msichana Mpya baada ya yule Wa kwanza kunisumbua kwa kupenda pesa kuliko maelezo na ukatokea ugomvi mwisho tukashindwana
Sasa nikapata msichana Mpya, tumetoka outing Mara mbili tatu nne hivi katika wiki chache zilizopita, katika outing hizo nikamuomba awe wangu, kwamba Nina nia njema nae, akasema nisubiri, niwe mvumilivu atanijibu, katika kuongeza ushawishi nikaanza kumuita hny, baby na kadhalika maana dalili zote zilionesha kwamba kuna jibu la ndio linakuja, maana tukiwa beach tulishikana mikono na kukaa kama wapenzi except kissing ndio hatukufanya
Ikafika pahala nikalazimika kuwa serious kidogo kuhusu majibu yangu, nikasema nahitaji kujua nimekubaliwa au la hatuwezi kuendelea namna hii, akajibu kuwa ana mtu wake ila kama vipi we can just be friends, nikamwambia sawa ila na Mimi Nina sharti moja katika hiyo being normal friends, nikamwambia katika hiyo friendship hakuna kuombana pesa, ikifika wakati una shida utamuomba mtu wako
Nikamuona kawa mdogo akasema ina maana wewe huwezi kusaidia mtu? Nikamwambia kusaidiana inakua upande mmoja tu? Kwangu kwenda kwako?
Kwa kuwa ww una mtu wako na mm itabidi nitafute Wa kwangu ndie huyo nitakua namsaidia kama sijampata nitawapa hata wadogo zangu Wa kike wao pia wanahitaji pesa, tangu siku hiyo akakata mawasiliano hadi alipoibuka tena Jana na proposal Mpya kwamba kama vipi tunaweza kuendelea na uhusiano ila kichwani nijue ana mtu wake
Ilibidi nimuulize kama ana akili timamu au la?
Yaani mm niwe spare tyre?
Nimegundua hakuna kitu kama "" we can just be friends"" kauli hiyo inatumiwa na akina Dada kama pango la wanyanganyi la kupigia mizinga na ndugu zangu msikubali mtego huo, kama ana mtu wake atembee mbele, nilikwambia mm nahitaji marafiki wapya? Nilio nao wote hao hawatoshi? Urafiki Wa kawaida halaf kila siku unakuja na shida!!!
Sasa nimeshtukia huo mtego ndio unakuja kudai tunaweza kuwa wapenzi kwa siri ila mtu wako asijue, Mimi? Yaani mm mwanaume mzima makamo Haya niwe mpenzi wako Wa pembeni?
Nonsense
Utasikia umefikia muafaka gani? Agriishii!! Duh,,.
Ichukie hivo hivoPunguza jazba kwanza
Una point ila tone ya jazba kali
Kunywa maji kwanza hapo halafu anza upya kupanga point
Yani kama ulikua unamuona superman gafla unaanza kumuona kidagaa
Duh, mkuu wewe una profession hii, umesomea wapi, maana naona unazo strategy ambazo ni applicable..
Badala aandae mazingira ya kula mzigo , ye anakomaa na jibu. Ananiuzi yani!!!Wanaume yani kama hamjui hii kitu inaboa sana na kuwapunguzia credit "kuomba jibu kama umekubaliwa" inaboa sana mtu anaekupenda, anaekukubali, ambae yupo tayari kuwa nawe, yupo tayari kukupa tu hata kama ana mtu...utamjua tu kwenye maongezi acheni kuwa mnaomba majibu hilo tongozo la kizee bana
Sema kwakuwa tayari ana mtu wake ila hiyo kauli walaaaa isikuogopeshe, akikuambia hivyo ujue anataka mtake things slowly maana inaonekana ulikuwa na haraka sana.
She needed time mfahamiane vizuri ili msije kurupuka kuanzisha mahusiano alafu after 2weeks muanze migogoro isiyo na msingi, so just relax you can just be friends for now.
Maybe aliyenae mambo hayako poa thats why anataka kukupa nafasi, jitose tu mbona wenzako akina sumbai kwao poa tu.
Yani kama ulikua unamuona superman gafla unaanza kumuona kidagaa
Shemeji,
Enzi zileee wakati bhado naranda randa nlikuwa sio mtu wa kukatishwa tamaa na kauli kama hii eti nna mtu wangu,
teh teh unamtu wako tutabanana na huyo mtu wako, akuache nkuchukue jumlaa...
Kuna mtu anaeza kukwambia yupo inrelation, but stil bhado anatafuta mtu wa maana zaidi na aliyenae,
Kama unanikataa nikatae kwa sababu nyingine,
Mwanamke hawezi kuwa sirias kukwambia nakupenda pia mimi ila nina mtu wangu, hivi kama unamtu kwanini umpende mtu mwingine? Hapo huwa naforce king tuu.....lazima mwenye mali yake aage...
Huyu jamaa mtongozaji bado ni old school katika kutongoza!!! Paka sasa hivi bado tunatumia style ya kusubiri majibu? Yes au no...
Huyo dada mpe muda tuu, mpe ma care ya kutosha, mfanyie yaliyo mazuri zaidi...mteke kisaikolojia
Kisha mpe mda ajipime mwenyewe kwa huyo aliye naye na wewe nan zaidi?
Acha kuchezea fulsa, kijanaaa...siku hizi kupata single ladies ni ngum, lazima uvunje bond ya mtu
I want to be your friend
Badala aandae mazingira ya kula mzigo , ye anakomaa na jibu. Ananiuzi yani!!!
Mi naona achinjiwe tu, hakuna namna nyingine
Teh nina mtu lakini.....
Nilikua sijui kutongoza.. Leo nimejua,, am ready to Go
Nikuambie nn baptiste??.......wee noumaaa