Streptokinase
JF-Expert Member
- Dec 13, 2018
- 268
- 421
Wakuu ni siku mpya, tumshukuru Mungu kwa kuiona.
Niende moja kwa moja kwenye mada, katika mizunguko yangu ya kutafuta "utelezi" nilikutana na mdada flan very hardworking business woman.
Baada ya kumpanga tukaanzisha mahusiano, kama mnavojua kwenye mahusiano kusaidiana financially ni lazima kwaio nimekua nikimpiga tafu za hapa na pale kila anaponambia anauhitaji.
Kilichonifanya nije kuanzisha huu uzi. Kama wiki mbili zimepita niliiona bank status yake bila yeye kujua, kiukweli ni anahela nyingi sana kunizidi mimi.
Mimi ni muajiriwa tu ambae nina majukumu mengi sana familia na ndugu pia wananitegemea, na analijua hilo. Kama siku tatu zimepita ameniomba laki tatu kwamba amekwama sehemu, like seriously??
Wanawake kwanini mnakua na roho ngumu hivi? Pamoja na kuwa na kipato zaidi yangu bado anataka kuendelea kunikamua tu kidogo nilichonacho. Dah
Niende moja kwa moja kwenye mada, katika mizunguko yangu ya kutafuta "utelezi" nilikutana na mdada flan very hardworking business woman.
Baada ya kumpanga tukaanzisha mahusiano, kama mnavojua kwenye mahusiano kusaidiana financially ni lazima kwaio nimekua nikimpiga tafu za hapa na pale kila anaponambia anauhitaji.
Kilichonifanya nije kuanzisha huu uzi. Kama wiki mbili zimepita niliiona bank status yake bila yeye kujua, kiukweli ni anahela nyingi sana kunizidi mimi.
Mimi ni muajiriwa tu ambae nina majukumu mengi sana familia na ndugu pia wananitegemea, na analijua hilo. Kama siku tatu zimepita ameniomba laki tatu kwamba amekwama sehemu, like seriously??
Wanawake kwanini mnakua na roho ngumu hivi? Pamoja na kuwa na kipato zaidi yangu bado anataka kuendelea kunikamua tu kidogo nilichonacho. Dah