Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,550
- 6,108
Wanawake kwanini mnajiumiza na kujitesa hivi? Hii yote ili mgundue nini kwa mfano?
Wanawake mtafika mbinguni mmechoka sana.
Wanawake mtafika mbinguni mmechoka sana.
Na akisha kula anapotea......... maninaYote hayo kisa kiumbe mwanaume...
Yote hayo kisa kiumbe mwanaume...
All because, of Men have high libido but girls suffer with loss of LibidoNimejikuta nacheka daah kuna watu na viatu.
Anyway kwa sababu yenu mnapenda chuchu saa sita mfano uwoya hapo keshanyonyesha kitu wala hakijambembea sana kumbe kaenda kwenye hayo machuma vidume kutwa kumsifia. Kina chuchunge kutwa kuibuka na shepu mpya mpya basi wananzego wanasifia pisi kali.
Yote hayo kisa kiumbe mwanaume...
Na cc wanaumee tujitafakari...View attachment 2257689
Ila ya asili ndio yanavutia ila sio haya yakutengenezaTuna pagawa sana na matako yao wacha wafanye hivyo