Wanawake Mungu anawaona...

Mr pianoman

JF-Expert Member
May 22, 2019
2,550
6,108
Wanawake kwanini mnajiumiza na kujitesa hivi? Hii yote ili mgundue nini kwa mfano?

Wanawake mtafika mbinguni mmechoka sana.

20220611_195253.jpg
20220611_195258.jpg
20220611_195011.jpg
 
Nimejikuta nacheka daah kuna watu na viatu.

Anyway kwa sababu yenu mnapenda chuchu saa sita mfano uwoya hapo keshanyonyesha kitu wala hakijambembea sana kumbe kaenda kwenye hayo machuma vidume kutwa kumsifia. Kina chuchunge kutwa kuibuka na shepu mpya mpya basi wananzego wanasifia pisi kali.
 
Nimejikuta nacheka daah kuna watu na viatu.

Anyway kwa sababu yenu mnapenda chuchu saa sita mfano uwoya hapo keshanyonyesha kitu wala hakijambembea sana kumbe kaenda kwenye hayo machuma vidume kutwa kumsifia. Kina chuchunge kutwa kuibuka na shepu mpya mpya basi wananzego wanasifia pisi kali.
All because, of Men have high libido but girls suffer with loss of Libido
 
Kwa hiyo pisi zinawekeza kujitengeneza ili zije kupiga mpunga mrefu kwa wanaume........dah! Mambo yanaenda kasi sana.
 
Back
Top Bottom