Sio mwanaume huyo na sio kila mwenye umbo la kiume ni mwanaume wengine ni wanawake kwenye maumbile ya kiume sura ya BabaKwanini wanawake hudondoka na kuweweseka wanapofanyiwa maombi tofauti na wanaume mfano Jana wanawake ,15+ wamedondoka
Wanaume 1 Tu Kati ya 10
Je nini huwa dondosha na uyo mwanaume aliyedondoka Tumuweke kundi la wanawake?
lambaaa lamba oooow ooowsa7 wanalia oooo umenikumbusha wimbo waoWaongo , kila jumapili hapa kona naona wanatolewa hayo mapepo , kiufupi hao wachngaji kama wale waganga wa kizigua maarufu kama rambaramba . Hawa wa kanisani huvaa suti , ila wote ni washirikina .
Maigizo yao yanafanana kabisa.
Wale jamaa ni wasanii , wanateka watu akili sanalambaaa lamba oooow ooowsa7 wanalia oooo umenikumbusha wimbo wao
wanawake wengi wapo so emotional kiasi kwamba wanamuweka mchungaji kama pedestal wa maisha yaoKwanini wanawake hudondoka na kuweweseka wanapofanyiwa maombi tofauti na wanaume mfano Jana wanawake ,15+ wamedondoka
Wanaume 1 Tu Kati ya 10
Je nini huwa dondosha na uyo mwanaume aliyedondoka Tumuweke kundi la wanawake?
wanaume hua hawafumbi macho kabisa kwenye maombi, tofauti na wanawake ambao huyafumba kwa 100%, na kwahivyo hukosa balance hasa akipigiwa kelele kubwa au kusukumwa kidogo tu kichwani.Kwanini wanawake hudondoka na kuweweseka wanapofanyiwa maombi tofauti na wanaume mfano Jana wanawake ,15+ wamedondoka
Wanaume 1 Tu Kati ya 10
Je nini huwa dondosha na uyo mwanaume aliyedondoka Tumuweke kundi la wanawake?
Mapepo ni rahisi kuwaingia wanawake Kwa sababu wanawake wanaendeshwa na hisia , sile hisia kama , uchungu, manu'nguniko ,masikikitiko, mawazo mabaya & tabia mbaya za mtu & kukosa upendoKwanini wanawake hudondoka na kuweweseka wanapofanyiwa maombi tofauti na wanaume mfano Jana wanawake ,15+ wamedondoka
Wanaume 1 Tu Kati ya 10
Je nini huwa dondosha na uyo mwanaume aliyedondoka Tumuweke kundi la wanawake?
Et wanatoa mapepo watu nao hawana dogo unakua wanajaaWale jamaa ni wasanii , wanateka watu akili sana
Sahihi zaidi hadi sasa.Mapepo ni rahisi kuwaingia wanawake Kwa sababu wanawake wanaendeshwa na hisia , sile hisia kama , uchungu, manu'nguniko ,masikikitiko, mawazo mabaya & tabia mbaya za mtu & kukosa upendo
& Kurogwa husababisha kuvutia mapepo
ni tofauti na mwanaume ambaye ana tumia mantiki na kureason
Uwa inakuwa vigumu
Ukikuta mwanaume ana mapepo
Akiwa nayo ujue kuwa ni
mara nyingi anakua karogwa au hana upendo au miungu ya kwao nk
Ukijibu hili swali basi utakuwa umepata jibu la swali lako: kwanini katika misiba vilio vya wanawake ndivyo vinavyotawala?Kwanini wanawake hudondoka na kuweweseka wanapofanyiwa maombi tofauti na wanaume mfano Jana wanawake ,15+ wamedondoka
Wanaume 1 Tu Kati ya 10
Je nini huwa dondosha na uyo mwanaume aliyedondoka Tumuweke kundi la wanawake?
Waongo , kila jumapili hapa kona naona wanatolewa hayo mapepo , kiufupi hao wachngaji kama wale waganga wa kizigua maarufu kama rambaramba . Hawa wa kanisani huvaa suti , ila wote ni washirikina .
Maigizo yao yanafanana kabisa.
Ukakasi Sana!. Binafsi huwa ninapokuwa kwenye majukumu ya ukombozi wa watu Katika Kristo Yesu mara nyingi tu nimewahi kukemea mapepo ndani ya watu na kwa kutii Mamlaka ya Kristo Yesu yaliwatoka pasipo kupiga kelele wala kuwaangusha!.Kwanini wanawake hudondoka na kuweweseka wanapofanyiwa maombi tofauti na wanaume mfano Jana wanawake ,15+ wamedondoka
Wanaume 1 Tu Kati ya 10
Je nini huwa dondosha na uyo mwanaume aliyedondoka Tumuweke kundi la wanawake?
Hayo mapepo yaliingia vipi na hao wanaenda kanisani kila siku? Huo ni uchawi ni vile mnavaa suti.Ukakasi Sana!. Binafsi huwa ninapokuwa kwenye majukumu ya ukombozi wa watu Katika Kristo Yesu mara nyingi tu nimewahi kukemea mapepo ndani ya watu na kwa kutii Mamlaka ya Kristo Yesu yaliwatoka pasipo kupiga kelele wala kuwaangusha!.