Wanawake mtatuua

Wanawake mtatuua

Alivokuwa akimsifia sifia ndio nikaanza kushtuka nikajua huyo hamna kitu anampaka mafuta kwa mgongo wa chupa
 
Angalia tu usije ukampa Shem wetu gongo ili kupandisha game yake maana mnamambo nyiee ![emoji57]

Shem wako hahitaji booster......nampa ugali wa dona na matembele.....siku nyingine mlenda na dagaa......kambale za ziwa Babati.....na supu ya kuku wa kienyeji kutoka nyumbani Yaeda........
 
Shem wako hahitaji booster......nampa ugali wa dona na matembele.....siku nyingine mlenda na dagaa......kambale za ziwa Babati.....na supu ya kuku wa kienyeji kutoka nyumbani Yaeda........
Haya sawa. Yule porn star uliyemtaka ni mimi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unasemaje sasa ?!
 
Nyie mbona mnakujaga na yenu mnayoyatoaga kwenye porn huko.... Na muuwawe tu kwani shilingi ngapi
 
Vijana wa siku hizi mnakosa maarifa. Siku nyingine utaambiwa ule Kinyesi chako na Konyagi ili Uwe fiti kitandani....kwa hapa mlipofikia najua utabugia tu. Unaacha kufikiria kuwa fiti kwenye maisha unafikiria kuwa fiti kwenye papuchi!!!!!
 
Madhara ya kuangalia Porn... Wanashindwa kutambua kuwa wale wapo kwenye Biashara.


Tendo la ndoa ni tendo la Furaha, Wao wanalifanya kama Jukumu.
 
Aisee hatarii,wanaume mnapenda kusifiwa sana ikija kwenye haya mambo...mimi ningekuwa me nikishamaliza sitaki sifa, maana nyingine huwa za uongo tu



Huyu jamaa anassifiwa wakati huo huo anapewa Konyagi na Asprin.


Kama anamfikisha hizo Konyahi na Asprin za nini tena???
 
Haya sawa. Yule porn star uliyemtaka ni mimi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unasemaje sasa ?!

Aaaaah wapi.......
Wale wa kule wanakula ma lasagna bolognese......rice stroganoff......ma fish tacos with lime cilantro crema......maalumu kwa ajili ya kufanya kazi za namna hiyo........wewe ndugu yangu tunaoshibishana kwa matembele......huoni utakufwaaa gafla bin vuuu......
 
Huyu jamaa anassifiwa wakati huo huo anapewa Konyagi na Asprin.


Kama anamfikisha hizo Konyahi na Asprin za nini tena???
Si ndio hapo,mwanzoni alianza kwa kumsifia badae kamletea booster... Wanaume msiamini sifa mnazopewa mkajiona nyie ndio vidume...huwa tunasema tu ili siku ipite...
 
Back
Top Bottom