Wanawake mtatuua

Wanawake mtatuua

Mbona sikuhiz wanawake wanapenda kufanywa sana tena ile kusuguliwa haswa why? Tusitesane bhana na hizo sugu zenu za chin,,,tena ukiwa unamfanya km anakutegeshea hiv utaishia wap
 
Labda
Tunaambiwa kila siku ukinywa dawa usitumie kilevi. Leo unaambiwa unywe asprin na konyagi ili uwe fit kitandani unakubali.
Hivi nyie wanaume mtadanganywa mpaka lini? Hamjajifunza kutokana na kosa alilofanya adam kule eden?
sijui wenzangu, ila mii nimejifunza kitu hapa!
 
Tatizo wanawake siku hizi wanalaum sana kwamba wanaume hawawaridhishi lakini wanasahau kwamba hata wao wengi wao ni magogo na wasoma magazeti wakati wa game!
 
Back
Top Bottom