pombe na nyege vimeniponza

pombe na nyege vimeniponza

mr pipa

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2021
Posts
4,287
Reaction score
9,149
Ilikuwa mida ya asubuhi, ggrrrh mara simu yangu ikaita. kuangalia mdogo wangu
Dogo: Kaka kwema, me: poa, dogo:kuna tv yangu naiuza niletee mteja, iko sehem fulani ukipata mteja mpeleke mimi nimetoka,

kweli wanangu nikapambana nikapata mteja mida fulan ya jioni, nikampeleka akaiona akanipa kibunda

Nikamwambia dogo nimeshauza je hela yako nikutumie? akaniambia utanipa kesho ila chukua k30 ya posho, nikasema unyama, nikapitia kibar kimoja hivi nikate hata konyagi ndogo,

dah likawa kosa la kiufundi, nilivyopata stimu tu nikawa najiamini kwenye hela ya watu, wanywaji wenzangu wamenielewa

pale pale k100 ikakata, haitoshi nikachukua mtoto mzuri, maana nyege zilipanda nikatoka kwenda kumgonga

ile naamka pombe baada ya kutoka kichwani kwenye laki 3 ya dogo imebaki laki moja na elfu 20

Hapa bado nipo na mtoto mzuri akili yangu imelejea nawaza sijui nampangaje, na sina hela ya kujastia mpaka mwisho wa mwezi mshahara ukitoka

hebu nipeni mbinu
pombe na nyege vimeniponza
 
Back
Top Bottom