Wanawake msikubali uzinzi wa waume zenu

Wanawake msikubali uzinzi wa waume zenu

Katika ushauri wote duniani uliouwaza wewe ni wanawake waombe talaka?Tena ni "kuomba" na si kutaka.Unawadanganya.Wakiomba talaka ndiyo wanapata suluhu ya ndoa zao.Think twice, again and again,fella!
Dini ndio zimeleta ndoa Mkuu, na ni dini hizohizo ndio zinasema ndoa ivunjwe endapo kuna mwanandoa mzinzi.

Kama unaona wewe ni mzinzi usiikaribie ndoa Mkuu.
 
Dini ndio zimeleta ndoa Mkuu, na ni dini hizohizo ndio zinasema ndoa ivunjwe endapo kuna mwanandoa mzinzi.

Kama unaona wewe ni mzinzi usiikaribie ndoa Mkuu.
Kwa hiyo umeshahukumu mimi ni mzinzi kwa sababu nimekukatalia hoja yako ya kipuuzi?Tumia akili yako hata kwa asilimia tano hadi saba uje na suluhu kwa hao akina mama.
 
Kuna uzi nimeusoma kuwa kuna mwanaume umefarik na kuacha watoto wawili wa nje ya ndoa ambao waliletwa kwenye msiba wa Mwanaume huyo.

Ukiangalia kwa umakini utaona upuuzi wa Mwanaume ndio unaleta mateso kwa Mke wa ndoa na watoto wa ndoa, maana Uzinzi wa mume unafanya mke aanze kuhangaika kupambania urithi na watu wa nje.

USHAURI WANGU
Wanawake msikubali uzinzi wa waume zenu Kwenye Ndoa, ukiona na ukathibitisha mume wako ni malaya basi dai talaka mapema iwezekanavyo.

Usisite kabisa, maana usipokuwa makini utaletewa watoto siku ya mazishi ya mume wako.
Mbona nyie wanawake mnazaa nje ya ndoa na kuwambambikia waume watoto na tunalea bila kinyongo? Acheni roho mbaya nyie wanawake, ikitokea mke ndio wa kwanza kutangulia kufa je? Hao watoto wa nje hawana makosa wapewe tu haki yao kama watoto wengine tatizo ni pale mnapotaka kuwadhulumu haki yao wakati hawana shida
 
Mbona nyie wanawake mnazaa nje ya ndoa na kuwambambikia waume watoto na tunalea bila kinyongo? Acheni roho mbaya nyie wanawake, ikitokea mke ndio wa kwanza kutangulia kufa je? Hao watoto wa nje hawana makosa wapewe tu haki yao kama watoto wengine tatizo ni pale mnapotaka kuwadhulumu haki yao wakati hawana shida
MIMI NI DUME LA MBEGU MKUU (Nitake radhi).

Ninachoongea ni ukweli na sina upande wowote kwenye hili Mkuu.

Soma Threads zangu utaelewa mimi ni mtu wa aina gani (Sina upande kwenye kusema ukweli).
 
MIMI NI DUME LA MBEGU MKUU (Nitake radhi).

Ninachoongea ni ukweli na sina upande wowote kwenye hili Mkuu.

Soma Threads zangu utaelewa mimi ni mtu wa aina gani (Sina upande kwenye kusema ukweli).
Ok, nilidhani mtoa mada ni ke, samahni katika hilo, wanawake wao wanachojua ninkwamba mwanaume ndie hutanguia kufa, kama marehemu kaacha watoto wa nje ni suala la kukubaliana na Hali hiyo na kuwapa wanachostahili
 
Halafu kikao cha ukoo lazima kiwaingize watoto wa nje wa ndugu yao kwenye muktasari wa mirathi.

Na hivi wanawake wengi waloolewa mnavyokuwaga hampendi ndugu wa mume ndio wanapata pa kuwapiga mwana ukome [emoji108]
[emoji3][emoji28]

Wanawanyoosha!

Vinginevyo mahakamani hautapokelewa bila waraka wa familia au ukoo wa Marehemu.
 
Ndugu wa mume wanajuaga Siri za ndugu yao (mume).

Tena ukiwa mchoyo hupendi ndugu wa mume nduguze wakisikia ana mchepuko ndio wanafurahi [emoji38][emoji38][emoji38]

Sasa mawifi hasa wa jamii ya washahili wanashindwa kubeba siri kifuani wanaamua liwalo na liwe wana hakikisha umejua ili kama kuvimba kisha upasuke [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hakuna kitu wanafurahia mawifi kama kujua kaka yao anachepuka iwapo mkewe ni mnoko na mchoyo [emoji108][emoji108]

Wengine wanawakuwadia kaka zao kabisa ili kumkomesha wifi [emoji1787][emoji1787]

Kisha wanahakikisha unajua [emoji38][emoji38]

Halafu wanamjaza upepo mchepuko akupeleke mputa mputa [emoji3][emoji28]

Tujifunze ukarimu na upendo kwa ndugu wa mume maana inampendeza Mungu na wanadamu.
 
Tatizo mtoto asipokula akashiba jyumbani lazima atakula kwa jirani tu wanawake wengi siku hizi ni wavivu kiwapa tendo la ndoa waumezao ukitaka upewe mbususu mpaka mgombane wewe Akikubali kifo cha mende dk 2 mke kojoa bwana mie nimechoka. Mme hashibi
 
Kuna uzi nimeusoma kuwa kuna mwanaume umefarik na kuacha watoto wawili wa nje ya ndoa ambao waliletwa kwenye msiba wa Mwanaume huyo.

Ukiangalia kwa umakini utaona upuuzi wa Mwanaume ndio unaleta mateso kwa Mke wa ndoa na watoto wa ndoa, maana Uzinzi wa mume unafanya mke aanze kuhangaika kupambania urithi na watu wa nje.

USHAURI WANGU
Wanawake msikubali uzinzi wa waume zenu Kwenye Ndoa, ukiona na ukathibitisha mume wako ni malaya basi dai talaka mapema iwezekanavyo.

Usisite kabisa, maana usipokuwa makini utaletewa watoto siku ya mazishi ya mume wako.
Halafu ukipewa Talaka?Ukiachika unageuka mchepuko wa Mume wa mwanamke mwingine..

Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app
 
Kwa Hiyo talaka ndio ufumbuzi? Kwa vipi ?

Utadai talaka kisha kwa umri wako wanaume utakokutana nao watakuwa ni wanaume za watu au marioos.

Ukitembea na mume wa mtu inakuwa inaondoa maana ya overreaction yako hadi kudai talaka, kwenda kuanzisha uhusiano na marioos ni kujidhihirisha mwenyewe tu.

Tafakali, Pima kwa mbele uko tayari kwa yajayo kabla ya kuendelea na mchakato wa talaka.
 
Halafu sio michepuko yote ina madhara.

Mingine hususa ile yenye financial independence hainaga madhara.

Wengine wanataka sperm donation tu na furaha basi.

Ingawa kusema ukweli michepuko mingi ipo kwaajili ya tamaa ya pesa na Mali na ndio maana wanalazimisha kuzaa ili watoto wawe kitega uchumi,

Actually hata wake wa ndoa wengi ni hivyo hivyo, vinginevyo awe mke ako na uchumi wake huru.
 
Back
Top Bottom