Wanawake msikubali uzinzi wa waume zenu

Wanawake msikubali uzinzi wa waume zenu

Kuna wanawake wanasababisha wanaume waanze kuchepuka, ukiingia katika ndoa utaliona hili.

Chepuka unavyoweza ila kwa upande wangu hua napinga mwaaume anayepambana pamoja na mwanamke pamoja na kufanikisha kumiliki mali kiasi then mwanaume kwa namna moja au nyingine ananza kutafuta visingizio vyakutoka nje ya ndoa hadi kupata watoto huko then anaforce kibabe kuwainclude watoto wa nje na wale wenye haki!!! Huo ni UPUUZI na dhambi kubwa kutokea.

Kama unataka ivo fanya kutafuta mali zako mwemyewe kwanza bila uwepo wa mwanamke, yani hakikisha mwanamke unayemwoa hatoi hata mia yake na kwako akute kila kitu mpaka poda asijinunulie hata gari ukimpa awe amelikuta tu then akizingua we unahaki ya kufukuza, kuoa hata kuzaa unavyotaka ila sio kwa mwanamke aliyekukuta unakaa kwenye kagetto kama store akakuvumilia hadi mkamiliki nyumba then ulete use ge wa ivo ,

tena unakuta umeenda kuokota kidem choka mbaya masikini hakina mbele wala nyumba unakihudumia kwa kufuja haki ya mke na wanao unapereka kwa mchepuko ni heri hata uchepuke na mdada tajiri mwenye future na vision kidogo unaweza kueleweka maana atakua kakupenda wewe sio mali na wtoto wake hawawez kuangaika na mali za mkeo maana mama yao yupo vizuri.

Si tupo kwenye ndoa ila huo hupuuzi hua sifanyi milele mali zangu ni zamke richa ya mapungufu yake ila kwakua alinikuta sina hili wala lile, kaanza kunifulia nguo zangu na kuniheshimu hata kabla sijaweza kumnunulia gauni la 30k, siwezi kufanya iyo dhambi abadani, mungu aniepushe mbali.
 
Pesa ni muhimu sana hatukatai ila hakuna kitu cha muhimu ukiwa na qualities bora kuwazidi wanaume wengine.
Rafiki usiiishi kwa kuwaridhisha hawa viumbe utaumia. Unachoweza kufanya ni kutimiza majukumu yako kama mwanaume na mambo mengine yatajipa. Tatizo vijana wengi wa siku hizi hawajapitia jando na hawataki kukaa na wazee wapewe mawaidha. Ndoa hazidumu kwa sababu unakuta kijana anaiga starehe za Baba yake lakini hataki kuiga majukumu ya Baba yake. Huu ni ushoga tunaendekeza.
 
Chepuka unavyoweza ila kwa upande wangu hua napinga mwaaume anayepambana pamoja na mwanamke pamoja na kufanikisha kumiliki mali kiasi then mwanaume kwa namna moja au nyingine ananza kutafuta visingizio vyakutoka nje ya ndoa hadi kupata watoto huko then anaforce kibabe kuwainclude watoto wa nje na wale wenye haki!!! Huo ni UPUUZI na dhambi kubwa kutokea.

Kama unataka ivo fanya kutafuta mali zako mwemyewe kwanza bila uwepo wa mwanamke, yani hakikisha mwanamke unayemwoa hatoi hata mia yake na kwako akute kila kitu mpaka poda asijinunulie hata gari ukimpa awe amelikuta tu then akizingua we unahaki ya kufukuza, kuoa hata kuzaa unavyotaka ila sio kwa mwanamke aliyekukuta unakaa kwenye kagetto kama store akakuvumilia hadi mkamiliki nyumba then ulete use ge wa ivo ,

tena unakuta umeenda kuokota kidem choka mbaya masikini hakina mbele wala nyumba unakihudumia kwa kufuja haki ya mke na wanao unapereka kwa mchepuko ni heri hata uchepuke na mdada tajiri mwenye future na vision kidogo unaweza kueleweka maana atakua kakupenda wewe sio mali na wtoto wake hawawez kuangaika na mali za mkeo maana mama yao yupo vizuri.

Si tupo kwenye ndoa ila huo hupuuzi hua sifanyi milele mali zangu ni zamke richa ya mapungufu yake ila kwakua alinikuta sina hili wala lile, kaanza kunifulia nguo zangu na kuniheshimu hata kabla sijaweza kumnunulia gauni la 30k, siwezi kufanya iyo dhambi abadani, mungu aniepushe mbali.
Aisee una akili sana na roho hekima Big up sana mkuu.
 
Dada yangu kuna ukweli wa 98%, ujue zinaa sio lazima ufanye sex, kuna chats pia, hujaona watu wanaachana kisa tu chats za kimapenzi. Kiufupi mwanaume au mwanamke anayefanya zina huwa asili inaamua kumpa wa kufanana naye. Hakuna mtu ambaye hazini kabisa apewe mzinifu, lazima asili itawatenganisha, ndo unasikia mtu kadakwa.
Yeah,sure
 
Kuna uzi nimeusoma kuwa kuna mwanaume umefarik na kuacha watoto wawili wa nje ya ndoa ambao waliletwa kwenye msiba wa Mwanaume huyo.

Ukiangalia kwa umakini utaona upuuzi wa Mwanaume ndio unaleta mateso kwa Mke wa ndoa na watoto wa ndoa, maana Uzinzi wa mume unafanya mke aanze kuhangaika kupambania urithi na watu wa nje.

USHAURI WANGU
Wanawake msikubali uzinzi wa waume zenu Kwenye Ndoa, ukiona na ukathibitisha mume wako ni malaya basi dai talaka mapema iwezekanavyo.

Usisite kabisa, maana usipokuwa makini utaletewa watoto siku ya mazishi ya mume wako.
Mbona hujawaza wewe kufa na kumwacha mumeo na watoto wa nje!!?

Cheti Cha ndoa kimeleta kifo Cha mapema kwa wanaume wengi na kuleta ujinga mwingi kwa wanawake!!!

Mfumo wa mke mmoja ni mfumo katili sana kwa wnaume na hii itatuletea shida sana tusipoenda kinyume!!

Hivi mke akibadilika hataki kutii Tena baada ya kushiba maendeleo nyumbani Kwake mwanamme atafanyaje!!???

Kama sio Kuoa mwingine akuache ufanye mapenzi na mali unazojivunia!!?na watoto una waona wao ni WA maana kuliko mumeo aliekuweka kwenye Ramani!!?



So sad


Kwahiyo Chet Cha ndoa ndio kina wafanyaw muamini sisi wanaume tutakufa mapema na kuwaachia Mali si ndio!!?
 
Kuna uzi nimeusoma kuwa kuna mwanaume umefarik na kuacha watoto wawili wa nje ya ndoa ambao waliletwa kwenye msiba wa Mwanaume huyo.

Ukiangalia kwa umakini utaona upuuzi wa Mwanaume ndio unaleta mateso kwa Mke wa ndoa na watoto wa ndoa, maana Uzinzi wa mume unafanya mke aanze kuhangaika kupambania urithi na watu wa nje.

USHAURI WANGU
Wanawake msikubali uzinzi wa waume zenu Kwenye Ndoa, ukiona na ukathibitisha mume wako ni malaya basi dai talaka mapema iwezekanavyo.

Usisite kabisa, maana usipokuwa makini utaletewa watoto siku ya mazishi ya mume wako.
Hayo ni maneno tu...hakuna mtoto wa nje wote ni watoto wanastahili mali zangu.
 
Back
Top Bottom