Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,428
- 11,846
Michepuko mingine ni temporary tu mke ukivumilia kidogo baada ya muda yanaisha sasa Kwanini udai talaka?
Umejuaje kama suleimani hayuko mbinguni?Daudi alizini na kutubu, baada ya hapo hakulala na wanawake, akaletewa Abishagi Mshunami awe anampa joto ila na uzuri wa Abishagi hakutaka hata kulala naye kwa kuwa aliona matokeo ya uzinifu almanusura yamuuwe. Sulemani uzinzi ulisababisha amuache Mungu na kuitumikia miungu mbalimbali matokeo yake kafa na mbingu kaikosa.
Dah hivi kwanini kila mtu anaamini mwanamme ndo ataanza kufa?Kuna uzi nimeusoma kuwa kuna mwanaume umefarik na kuacha watoto wawili wa nje ya ndoa ambao waliletwa kwenye msiba wa Mwanaume huyo.
Ukiangalia kwa umakini utaona upuuzi wa Mwanaume ndio unaleta mateso kwa Mke wa ndoa na watoto wa ndoa, maana Uzinzi wa mume unafanya mke aanze kuhangaika kupambania urithi na watu wa nje.
USHAURI WANGU
Wanawake msikubali uzinzi wa waume zenu Kwenye Ndoa, ukiona na ukathibitisha mume wako ni malaya basi dai talaka mapema iwezekanavyo.
Usisite kabisa, maana usipokuwa makini utaletewa watoto siku ya mazishi ya mume wako.
We uko sawa kweli unajua laana ya Usaliti kwenye ndoa .Eti umekuta sms chats tu unataharuki na kelele usiku kucha !
Sasa umkute Mwanaume mwingine anakunyoosha na nyumbani anahama anakususa anakwambia hataki makelele.
Utachunda!
Anahamia kwa mchepuko kwenye utulivu na ambako anachekewa [emoji3][emoji28]
Utabaki macho ng’wasungw’asu [emoji38][emoji38][emoji38]
We uko sawa kweli unajua laana ya Usaliti kwenye ndoa .
Hao mawifi wanakuwa wameolewa au single mothers na wenyewe. Kama wameolewa na wao wanachokishangilia kwa wifi yao si nacho kitatokea huko walikoolewa!Ndugu wa mume wanajuaga Siri za ndugu yao (mume).
Tena ukiwa mchoyo hupendi ndugu wa mume nduguze wakisikia ana mchepuko ndio wanafurahi [emoji38][emoji38][emoji38]
Sasa mawifi hasa wa jamii ya washahili wanashindwa kubeba siri kifuani wanaamua liwalo na liwe wana hakikisha umejua ili kama kuvimba kisha upasuke [emoji38][emoji38][emoji38]
Hao mawifi wanakuwa wameolewa au single mothers na wenyewe. Kama wameolewa na wao wanachokishangilia kwa wifi yao si nacho kitatokea huko walikoolewa!
Binadamu uwezo wao wa kufikiri ni mdogo mno.
Unaelezea kwa uchungu imeshakukuta nn mkuu?Tujifunze upendo na ukarimu kwa watu wote ina faida kuliko kuchagua chuki na choyo kwa ndugu wa mume.
Ndugu yao ndiye bread earner lakini hutaki ndugu zake wale wala kusaidiwa?!
Kwanini mnathamini sana kula wakati vinaishia chooni?!
Halafu mngejua ukarimu na upendo kwa watu ni takwa la kiimani na lina thawabu msingaliendekeza choyo na chuki kwa ndugu wa mume .
We unamuelezea vip mwanaume ambaye ni malaya? Yaan wanaume wote tuwe malaya! Malaya ni nan?Hakuna Mume asie malaya
Kwahyo suluhu ni kutoka nje ya Ndoa?Tatizo mtoto asipokula akashiba jyumbani lazima atakula kwa jirani tu wanawake wengi siku hizi ni wavivu kiwapa tendo la ndoa waumezao ukitaka upewe mbususu mpaka mgombane wewe Akikubali kifo cha mende dk 2 mke kojoa bwana mie nimechoka. Mme hashibi