Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,488
- 79
hehehehehehe!Unaweza kujifanya hutaki kumega kabla, halafu huko kwenye honeymoon unakutana na kitu ambacho ungekijua kamwe usingethubutu kuoa mtu wa hivyo. Imagine unaoa kitakatifu hivyo, halafu ukifika ndani unakuta mwenzio ni tranny au wengine wanaita shemale?
kwani wewe hauna mashangazi? mashangazi ndiyo kazi zao hizo! watakusaidia kutafiti masuala kama hayo! hehehehe! umenifurahisha!