Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,488
- 79
hehehe, Kingi alianzisha mada hii kuwabana w/wake! Thats all!LoL! Kingi Ameanzisha Mada Pape Kaiteka na Kuitawala
hehehehehe, vakesheni sio lazima jf, hata kwenda jogging na wife/husband wako inatosha!Vekesheni yenu mnaenda wapi, isije kuwa mnaishia JF katika Jukwaa la Mahusiano, mapenzi, Urafiki
usipofanya hivyo mkuu utamegewa na serengeti boys! mkeo akijua humjali basi atatafuta mbadala wako fasta!Mbona huyo wa kwako umemega mara kibao hadi mnao watoto wakubwa lakini bado unamaindi vekesheni za hivyo?
senksi mkuu! Nilisema tangu mwanzo, suala la mapenzi ni la wawili! sio m/mke au m/ume pekee! mawasiliano ktk mahusiano ni muhimu!Pape, uko bingwa, hongera sana. Naona umelitawala jukwaa la mjadala huu bila utani. Na ndoa haikukondeshi. Pongezi mkuu. Mungu akubarikipamoja na darling wako.