Wanawake mnaweza kujiuliza hili!

Wanawake mnaweza kujiuliza hili!

Belinda Jacob hebu niambie hasa ni nini sababu ya kuvaa nguo inayoonesha maungo yako?
 
Last edited by a moderator:
Mama timmy ,How could you saya those words?
'
Mwanamama mwenye miaka hamsini unashindwa kujua faida ya kuuhifadhi mwili wako!
'
Ni bora uwe umenidanganya,kama una umri huo kweli,it will be much worst!
 
Last edited by a moderator:
Inawezekana amenunuliwa na mumewe. Kwani wamekuambia wanauza? Ukioa mke wako mkataze kuvaa nguo fupi, achana na wake za watu.

hii Ndio yenyewe, short and clear. Watu wanapenda Kweli kuapply viwango vyao kwenye maisha ya wengine. Ifike wakati tukubaliane kuwa mambo mengi hayana universal standard so unachodhani wewe ni sawa sio lazima mwenzio akione sawa na vice versa.
 
hii Ndio yenyewe, short and clear. Watu wanapenda Kweli kuapply viwango vyao kwenye maisha ya wengine. Ifike wakati tukubaliane kuwa mambo mengi hayana universal standard so unachodhani wewe ni sawa sio lazima mwenzio akione sawa na vice versa.

sema wewe Dido....maana Eiyer hataki kuelewa.....anang'ang'ania wanaonesha maungo ilhali wameolewa.....
 
Eiyer, watu wamenena. Elewa kwamba kila mtu ana standard zake za mavazi. Huenda unachovaa wewe wengine kamwe hawatathubutu kuvaa, haimaanishi kuwa kuna tatizo na nguo zako. La hasha. Mavazi ni relative.


Kwani nguo fupi ikoje? Wengine ikivuka kisigino tayari umeonesha too much. Na maungo yao hasa ni nini? Mapaja? Wangekuwa wamevaa kaptula ya mazoezi ungekuja kuanzisha thread hapa? Aisee unanikumbusha mwaka 94 mama yangu alikuwa amevaa suruali watu wanamshangaa mtaani Dar es Salaam. Ilikuwa suruali ya "heshima", yaani haijabana maungo ya kitambaa cha cotton, sio jeans. Siku hizi suruali ni kitu cha kawaida. Subiri utazoea hizo sketi in no time.

Otherwise, mind your business. Mkataze mkeo au binti zako lakini si watu usiowafahamu.
 
Last edited by a moderator:
Enheee, sasa huu ndo unafiki wa hali ya juu.

Kati ya huyo mwanamke na kundi la watu nani aliekosa heshima? Mtu unajivalia (si kuvalia wengine!) nguo zako halafu mijitu badala ya kuchapa kazi inaishia kufukuzana na kuzomeana. Tujifunze kuheshimu tofauti zetu. Kila mtu duniani yuko tofauti. Hata mapacha wana tofauti zao.



Hivi kumbe mwanamke ni kama duka..., lazima lifunguliwe kuonyesha bidhaa ili kuvutia wateja..!?
Wengine kuvaa nguo fupi ni kupenda awe ameolewa au hapana.
Nilibahatika kushuhudia mdada aliyevaa nguo fupi (Arusha mjini) akizomewa na kumwagiwa maji machafu! Alidhalilishwa na kudhalilika sana ila nadhani atakuwa hajarudia kosa kwa sababu alipata fundisho maishani kwake.
 
Eiyer hiyo ni hobie na maisha ya mtu,hata iweje haibadiliki,mi nikivaa sketi au gauni jua ni kanisani au msibani na ukweni,tofauti na hapo inakua ngumi,na jamii inayonizunguka wamezoea wala hawashangai ingawa umri c mkubwa kivile ila ndio mavazi yangu,nikibadili ni skin jeans na topu bas!mr kazoea wala hana tabu,so ni maisha ya mtu hayo!wla isikutatize!
 
hahaaa..nakumbuka siku moja kuna mbaba alibamiza gari yake kwenye packing kwa kunishangaa na kimini changu..lol nilimshangaa sana..sasa utashangaa wangapi daily jamani!

ila tusimseme sana inawezekana aliowaona yeye wanakaribia kuitwa bibi, coz umri nao inabidi tuangalie,kuna umri unafika mtu unapaswa ujue nguo za kuvaa la sivyo unageuka futuhi kwa watu Little angel!inawezekana Eiyer ndio aliokutana nao ikampa mshangazo kidogo!
 
ila tusimseme sana inawezekana aliowaona yeye wanakaribia kuitwa bibi, coz umri nao inabidi tuangalie,kuna umri unafika mtu unapaswa ujue nguo za kuvaa la sivyo unageuka futuhi kwa watu Little angel!inawezekana Eiyer ndio aliokutana nao ikampa mshangazo kidogo!

hapo kama point ilikua afurahishe nafsi yake si kujali ya watu hata awe kikongwe ataendelea kujifurahisha tu
 
hapo kama point ilikua afurahishe nafsi yake si kujali ya watu hata awe kikongwe ataendelea kujifurahisha tu

sawa furahisha nafsi ila usishangaze jamii inayokuzunguka pia Suprise!unaweza tazamwa kama umependeza pia waweza tazamwa ukiwa kituko mbele za watu,mi kuna umri ukifika sina budi kustopisha vimini vya kutisha kwa sasa twende kazi!
 
Mama timmy ,How could you saya those words?
'
Mwanamama mwenye miaka hamsini unashindwa kujua faida ya kuuhifadhi mwili wako!
'
Ni bora uwe umenidanganya,kama una umri huo kweli,it will be much worst!
Pole sana.ila tambua kila mtu anamtazamo wake juu ya mavazi na mtazamo wangu mimi ni huo.kuna nguo za kuogelea,za job na hapa inategemea na Aina ya kazi unayofanya,za mazoezi,za mtoko,za kuingilia kwenye nyumba za ibada n.kkwa Hiyo mtu anatakiwa achague nguo kutokana na eneo husika.na uelewe kuwa unachokipenda wewe sicho akipendacho mwenzio wengine mavazi hayo wananunuliwa na waume zao na ndo wanapenda wavae hivyo.
 
ila tusimseme sana inawezekana aliowaona yeye wanakaribia kuitwa bibi, coz umri nao inabidi tuangalie,kuna umri unafika mtu unapaswa ujue nguo za kuvaa la sivyo unageuka futuhi kwa watu Little angel!inawezekana Eiyer ndio aliokutana nao ikampa mshangazo kidogo!

kama comfort zone yangu ipo poa hata nikiwa na 80years napiga mini tu na bakora yanguuu huyoooo naelekea kitaa..
 
kama comfort zone yangu ipo poa hata nikiwa na 80years napiga mini tu na bakora yanguuu huyoooo naelekea kitaa..

hahaaaaa!haya bna kila mtu na mtazamo wake!mradi figure ilipe tu!Eiyer atakua alikutana na figure za tembo thats y ikamshtua!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom