NG`WANA ONG`WA DOYI
Senior Member
- Jan 31, 2013
- 112
- 42
What you wear tells who you are! Ni umalaya tu unawasumbua kwa nini usiende kumfunulia mmeo mapaja yako,mitaani watu watakuona kahaba uliyekubuhu.
What you wear tells who you are! Ni umalaya tu unawasumbua kwa nini usiende kumfunulia mmeo mapaja yako,mitaani watu watakuona kahaba uliyekubuhu.
halafu wakishamuona kahaba??.....hivi mtu asiwe comfortable kwa sababu mtu mwingine anakereka unnecessarily?!.....
unapovaa lazima uangalie heshima yako kwa jamii inayokuzunguka,ndugu zako,watoto wako unawafundisha nini siyo tu eti kwa mtazamo wako unajiona umependeza basi,we unafikiri kwa nini sehemu zingine wakipita wanazomewa,wanamwagiwa maji machafu?,maofisi mengine yamepiga maruku nguo kama hizo?
Uvae nguo fupi uwe na figure basi,wengine utakuna wameng'ang'ana na vimini miguu yenyewe kama fimbo ya pool.
Nipo Nyerere road hapa katikati ya Jiji la Mwanza.Hapa nilipo kuna wadada wawili wote wameolewa na wamevaa sketi fupi sana.Kitendo hiki kinanifanya nijiulize maswali yafuatayo.Kwanza nikiri kuwa huu ni muendelezo wa wanawake kuvaa nguo za ajabu ajabu bila kujali wameolewa ama la.
'
Hivi mwanamke ambae ameolewa kwanini anavaa nguo za kuonesha maungo yake?
'
Sihalalishi mwanamke alieolewa kuvaa hivyo kwa kuwa sina mamlaka hayo,lakini pia huenda ambao hawajaolewa wakawa wanaonesha matangazo ya "biashara"!
'
Lakini inakuaje pale unapoifanyia maonesho biashara au bidhaa ambayo tayari imeshanunuliwa?
'
Au kuna sababu ya wake za watu kuonesha maungo yao?[/QUO
Unadhani hii ndo inahalalisha uvaaji wenu wa aibu?