Wanawake mnaweza kujiuliza hili!

Wanawake mnaweza kujiuliza hili!

So kwako kuonesha maungo yako ndo kupendeza?Na unavaa kwaajili ya watu?

sivai kwa ajili ya watu wewe,navaa kufurahisha nafsi yangu babu eee,hata nikitembea na bikini ni maamuzi yangu,naishi niwezavyo siishi watakavyo!all n all my husband yupo hapy na mavazi yangu!who else atanibabaisha!
 
Mbona mnakatazwa kanisani kuvaa vimini km ni nguo za heshima?mtageza sna Umagharib kwan sasa hiv hakuna tofaut ya mnyama na binadam wote wapo uchi by da way ujana na ushamba ndo unawasumbua

Siwezi kuvaa kimini kanisani , sawa na Wewe huwezi kuvaa kaptula kanisani. Si mahali pake. No points for you
 
Eiyer, haujajibu maswali yangu as expected. Lakini ni sawa sababu hakuna jibu sahihi kwasababu tunatofautiana.

Kwa mfano unaweza kusema matiti inabidi yafichwe hadharani. Lakini unakuta mwanamke anaweza akanyonyesha mtoto kwenye daladala, sebuleni akiwa na shemeji zake au hata wazazi. Binafsi mimi siwezi kunyonyesha hadharani wala mbele za ndugu wa kiume, lakini naweza kuvaa bukta au sketi fupi. Kwa mawazo yako sijui ufupi ni wapi. Kuvuka juu ya magoti?

Eneo pekee ambalo haliruhusiwi kuoneshwa hadharani ni sehemu za siri (mbele na nyuma). Zaidi ya hapo ukiwa beach unavaa nguo za kuogelea, ukiwa unafanya mazoezi utavaa kaptula, kanisani unavaa smart casual. Mimi navaaga suruali siku zote mpaka kanisani. Sketi ni wakati wa summer joto likiwa kali mno.

Kwanini navaa nguo? Navaa nguo kupendeza, ku express myself, to feel good about myself, na kusitiri mwili wangu. Nguo zangu zinatofautiana na hali ya hewa. Kama kweli unataka kuvaa kimila basi turudi mpaka enzi za mababu zetu kuvaa shuka au shanga, kusitiri kila kitu lakini matiti tuache nje, si ndio? Hakuna namna moja ya kuvaa. Ukienda Swaziland kwa kina Mswati si utazimia kabisa???






HoneyBee ,hivi inahitaji uwezo gani wa kujua kuwa ni ufupi gani ninaouzungumzia hapa?
'
Hebu acha masikhara,Binadamu alie na uwezo mdogo tu wa kufikiri anajua kabisa maeneo gani hayatakiwi kuonekana barabarani,na yoyote akionekana huenda atakua ana matatizo ya kufikiri.
'
Mambo haya yanaeleweka na wewe unajua kabisa ni wapi mwili wako unatakiwa usitiriwe.
'
Kwanini unavaa nguo?
 
Last edited by a moderator:
Kaunga inamaana unataka kuniambia hujui ninachoongelea mpaka unaniambia macho?
'
Am suprised!!!!!

No inachosha sana ya hii ya watu wavae wanavyotaka na concern yako ibaki kuwa jinsi unavyovaa wewe na mimi mkeo; let others be. Tuna matatizo ya kuzidi zaidi ya uvaaji wa watu.
 
Last edited by a moderator:
HoneyBee ,sina tatizo na kutofautiana aina ya nguo kati ya mtu mmoja na mwingine.
'
Pia sina tatizo na uvaajiwa nguo tofauti kulingana na hali ya hewa.Lakini point ya msingi na kubwa uliyosema ni kuwa nguo inavaliwa kutegemea mazingira.
'
Aliyekua waziri mkuu wa Italia,Sylvio Berluscon aliwahi kuuliza mahakamani aambiwe tofauti ya mavazi ya mwanamke anaejiuza na yule asiejiuza hakupewa jibu,sijui wewe unaweza kumpa?
'
Honey,tunaweza kujaribu sana kutafuta maana nyingine ya kuvaa nguo lakini hakuna maana nyingine tofauti na kusitiri mwili,haya mambo ya kupendeza ni pale ambapo tayari umeshausitiri mwili ndipo mengine hufuata.
'
Kubali ukatae,asiejali kuhusu kusitiri ni yule mwehu pekee,sasa mwenye akili timamu nae akianza kufanya kama mwehu,inakua hatari!
 
Last edited by a moderator:
Mke wangu Kaunga tumeumbwa tofauti sana.Vipaumbele vyetu pia vinatofautiana sana.
'
Furaha ya watu wengine ni kuona binadamu anaishi kama binadamu na sio anaishi kama mbuzi au ng'ombe.Unatakiwa unijue mmeo napendelea nini!
 
Last edited by a moderator:
Mke wangu Kaunga tumeumbwa tofauti sana.Vipaumbele vyetu pia vinatofautiana sana.'
Furaha ya watu wengine ni kuona binadamu anaishi kama binadamu na sio anaishi kama mbuzi au ng'ombe.Unatakiwa unijue mmeo napendelea nini!
Kuishi kama binadamu according to who?
Binadamu wa zamadamu hakuwa binadamu?
Binadamu kabla ya dhambi hakuwa binadamu?

As my hubby, una mamlaka ktk uvaaji wako na familia yako tu. Sasa kwakuwa unakwazika wengine wakivaa na kwakuwa katiba haijalazimisha watu wavae according to you (one of billions binadamu and not the authority of them), basi kuna 3:- moja jifungie ndani usiwaone au nitakutafutia Miwani ya Mbao au la pili you got to live with the situation.

BTW umekuwaje leo? You used to be objective!
 
Last edited by a moderator:
Mbona umenivalia njuga? Habari za kunitumia kama kondom zinatoka wapi? Siku nyingine usidandie treni mbele!
Tena koma kusema wazazi wangu hujui kama wapo hai au wamekufa. Never quote me in any post, tafadhali sana!!

Kama wapo hi na unaendelea kuvaa nguo hizo pole yako kwani unawatukanisha wazaz wako na kama wamekufa ndo maana unavaa nguo hizo kwan najua ucngevaa mbele yao labda km wamekulelea ktk maadili ya kipuuzi,,,ingekua nguo ya heshima msingechagua umri au sehem ya kuvaa
 
Siwezi kuvaa kimini kanisani , sawa na Wewe huwezi kuvaa kaptula kanisani. Si mahali pake. No points for you

Ahsante kumbe umejua kama sio nguo ya heshima,,mm cwez kuvaa kaptula nikazunguka nayo mtaan au mjini nitavaa nikiwa nyumban,,sio kila kitu mgeze dada,mama zangu vngne fanyeni kama vnawapita halafu ndo mnasema w/wake tunadhalilishwa kumbe mnajidhalilisha wenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom