Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
- Thread starter
- #41
heshima ni mavazi?????....hao wanaowamwagia maji ndo wenye tatizo kwasababu huwezi kumlazimisha mtu afanye utakavyo wewe.....mavazi ni suala binafsi ni kama choice ya chakula....huwezi kukasirika eti kwasababu mtu anakula kitu usichokipenda......watu bado mnaishi kufurahisha jamii??
Hivi unateteaje jambo hili la aibu?