Wanawake mnaweza kujiuliza hili!

Wanawake mnaweza kujiuliza hili!

Kama waume zao waliwapenda wakiwa kwenye hivyo vimini, na bado wanaendelea kufurahishwa na uvaaji huo let them be! Binadamu hatufanani usichokiona sawa kwa mwingine kinaweza kua sawa, cha kufanya ni kukabiliana na wale walokua ndani ya uwezo wako mfano:mkeo,wanao etc.
 
yawezekana na waume zao wamekubaliana na hayo mavazi
Nipo Nyerere road hapa katikati ya Jiji la Mwanza.Hapa nilipo kuna wadada wawili wote wameolewa na wamevaa sketi fupi sana.Kitendo hiki kinanifanya nijiulize maswali yafuatayo.Kwanza nikiri kuwa huu ni muendelezo wa wanawake kuvaa nguo za ajabu ajabu bila kujali wameolewa ama la.
'
Hivi mwanamke ambae ameolewa kwanini anavaa nguo za kuonesha maungo yake?
'
Sihalalishi mwanamke alieolewa kuvaa hivyo kwa kuwa sina mamlaka hayo,lakini pia huenda ambao hawajaolewa wakawa wanaonesha matangazo ya "biashara"!
'
Lakini inakuaje pale unapoifanyia maonesho biashara au bidhaa ambayo tayari imeshanunuliwa?
'
Au kuna sababu ya wake za watu kuonesha maungo yao?
 
Mama watoto wangu Kaunga ,listen my dear.Binadamu mpaka amekua na ustaarabu amepitia katika stages tofauti tofauti japokua kuna tofauti ya ustaarabu wa mtu au jamii moja au nyingine.
'
Lakini mama,tunasahau kuwa kuna kanuni na sheria zinazoendesha ulimwengu huu na kanuni hizi hazibadiliki na ndizo zinazosimamia kila kitu.Kujiheshimu ni moja ya kanuni ya binadamu kutoka kwenye kanuni hizi zinazoendesha ulimwengu huu.
'
Kanuni hii haibadiliki kulingana na jamii bali ni kwa jamii zote za binadamu.Na kujisitiri ninakokuzungumzia hapa kunaeleweka,ndio maana mtu anapoamua kuwa wa dini hakuna anaemuambia namna ya kujisitiri,ANAJUA.
'
Kujua huko kunatoka kwenye kanuni hizo.Hakuna jamii isiyojua namna SAHIHI ya kujisitiri ndo maana Sylivio Berluscon aliwahi kuhoji tofauti ya mavazi kati ya kahaba na asie kahaba!
'
Hata hawa wanaopinga hapa namna sahihi ya kujisiti wanajua ila wanabisha tu.
'
Hivyo ninaposema kuwa binadamu ni kwa mujibu wa kanuni na sheria za ulimwengu au maumbile.
'
Kuwa binadamu kuna maana ya kujiuliza kuhusu sisi pamoja na mazingira yanayotuzunguka
'
Binadamu amepitia katika hatua hizo za kujiuliza na zama damu ni mojawapo,yale yaliyofanywa wakati ule japokuwa ni ya kijinga hayakumbadilisha binadamu asiwe binadamu bali kwa kuwa alikuwa anaendelea kujiuliza hatimae ameondoka kwenye huo ujinga,tatizo kuna watu wanataka kuturudisha kwenye zama za kijinga wakati tumeshatoka huko.
'
Ni sawa na mtu aje akuambie utumie barua badala ya sms!
'
Binadamu tangu kale amekua kama vile mtu anapozaliwa na hatua za kuelekea utu uzima,ulipokuwa mtoto uliyafanya ya kitoto na hakuna aliyekushangaa,tatizo unapokuwa mtu mzima na kuyafanya ya kitoto.
'
Na tatizo linaongezeka pale watu wazima wasipokuuliza kulikoni.Kuacha kuhoji ni kuwa sehemu ya tatizo.
'
Asiejiuliza ni mbuzi pekee!
 
Last edited by a moderator:
am sorry but do u know exactly how it feels to be a mother?????or else lets say a respectable woman????if u area mother u hav to understand that there are kids (not only yours) who follow ur steps hence you have to show them a right way............that is what i meant....BELINDAJACOB
 
Hivi hadi leo watu bado mnasumbuliwa na miniskirts? Zimekuwepo tangu enzi hizooooo, bibi zetu wakizivaa walio single na married!!
Ni fashion tu, ikija ya charanga pia watavaa ...si unaona madera yanavyochangamkiwa sasa!
 
Hivi hadi leo watu bado mnasumbuliwa na miniskirts? Zimekuwepo tangu enzi hizooooo, bibi zetu wakizivaa walio single na married!!
Ni fashion tu, ikija ya charanga pia watavaa ...si unaona madera yanavyochangamkiwa sasa!

Kazi ipo hapa na si ndogo!
 
Hivi hadi leo watu bado mnasumbuliwa na miniskirts? Zimekuwepo tangu enzi hizooooo, bibi zetu wakizivaa walio single na married!!
Ni fashion tu, ikija ya charanga pia watavaa ...si unaona madera yanavyochangamkiwa sasa!

Nawashangaa. Hivi ili dera limpendeze mwana dada inabidi awe na umbo gani?
 
Sijasema si ya heshima, bali si mahali pake. Mimi naweza kuvaa kaptula mjini, tena nilikuwa navaa mpaka kaptula za maternity . Wewe huvaa ukiwa nyumbani. Kila mtu na chaguo lake na ana haki ya kutoingiliwa wala kubugudhiwa kama hawajavunja sheria yoyote . That is my point. There is no right or wrong way to dress, but there is attire for every occasion.



Ahsante kumbe umejua kama sio nguo ya heshima,,mm cwez kuvaa kaptula nikazunguka nayo mtaan au mjini nitavaa nikiwa nyumban,,sio kila kitu mgeze dada,mama zangu vngne fanyeni kama vnawapita halafu ndo mnasema w/wake tunadhalilishwa kumbe mnajidhalilisha wenyewe
 
Eiyer, Wewe ungependa wanawake wavae nini na wasivae nini? Urefu gani, nini kisionekane? huwezi kuweka wanawake wote kwenye box moja, we are all different, respect our differences.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahah umbo lolote tu anapendeza, ile ni freesize unajua. Ila sio siri mdada akiwa kajaziajazia zaidi basi ndio inakuwa anapendeza zaidi na zaidi!
Nawashangaa. Hivi ili dera limpendeze mwana dada inabidi awe na umbo gani?
 
HoneyBee ,unajua kabisa ninachozungumza hapa hivyo swali lako unayo majibu yake.
'
BTW Say hello kwa Badi Gobbos a.k.a Vampire na Swordfish . . . .Lol!
 
Last edited by a moderator:
halafu wakishamuona kahaba??.....hivi mtu asiwe comfortable kwa sababu mtu mwingine anakereka unnecessarily?!.....
Achen kupotosha,hebu sema chimbuko la jamii yako ni wapi halaf ifuatiliwe ka undan mila na desturi ili kuhakiki kama hizo nguo ndo maadili mema ya jamii kwa ujumla!! Utamfundisha nini mwanao unaetegemea awe kioo cha jamii in future??
Mambo mengine ni ulimbukeni tu!!! Kuiga vitu visivyo vya maana.Mwanza kuna joto kias gani cha mtu kuvaa nusu uchi???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom