Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,094
- 173,806
Hahah
Umesema kweli
Hahah
Umesema kweli
Nini tena mkuu?Mzigua wa mizinguo umefanya nn sasa
upo wewe...Nini tena mkuu?
Nilikuta kasevu
fundi majeneza
Sema alikuwa mke wa mtu
Ulikuwa unamaanisha nn mkuluMmoja niliona amesave Boloz afu yule dada ni muhaya!
Umekimbia kwenu bana......Nini tena mkuu?
Nipo dearupo wewe...
Halafu upo ndugu!Nakusave jina lako kama unavyotambulika na Serikali ama la sikusave kabisa. Wa JF ndo naandika mbele JF. Ila mtaani aaah boss nakusave kama serikali tu