Wanawake mnavyotusevu kwenye simu

Wanawake mnavyotusevu kwenye simu

Nakusave jina lako kama unavyotambulika na Serikali ama la sikusave kabisa. Wa JF ndo naandika mbele JF. Ila mtaani aaah boss nakusave kama serikali tu
Halafu upo ndugu!
Mbona kimya Sana?
 
Back
Top Bottom