nimeipenda...!!!Hata mimi nina swali mojo, kwanini wanawake wa kule Moshi huwa wanapenda kuvaa sketi Mayenu?
Hata mimi nina swali mojo, kwanini wanawake wa kule Moshi huwa wanapenda kuvaa sketi Mayenu?
Kama hujui sketi mayenu ni fasheni. . . hata mimi navaa.
Tu kwasababu unavaa wewe basi nifasheni?......mimi nafikiri hiyo ni style tu....kama mimi ninavyo vaa mayenu na viatu mchongo.
Ningesema mimi navaa kwahiyo ni fasheni ningeelewa swali lako, ila kwasababu sikusema hivyo sina cha kujibu.
Kama huna cha kujibu kaa kimya! Angalia hiyo mayenu ulovaa!
Marekani kuna winter,huku ipo?
Hata mimi nina swali mojo, kwanini wanawake wa kule Moshi huwa wanapenda kuvaa sketi Mayenu?